Flatnews

Daktari afariki na Ebola Liberia


Wauguzi wambeba mgonjwa wa ebola
Idara ya afya nchini Liberia imetangaza kuwa Daktari mmoja wa Ebola amefariki kutokana na viini vya ugonjwa huo.
Ni daktari wa kwanza nchini humo kufariki kutokana na ugonjwa huo tangu uzuke mapema mwaka huu.
Daktari Samuel Brisbane aliambukizwa viini vya ugonjwa huo alipokuwa akiwatibu wagonjwa wa Ebola katika mji mkuu wa Monrovia.
Alihudumu kama daktari wa watu wengi maarufu akiwemo rais wa zamani Charles Taylor.
Shirika la afya duniani WHO linasema kuwa takriban watu 660 wamethibitishwa ama wanashukiwa kufariki na ugonjwa huo Magharibi mwa Afrika tangu mwezi February na kuufanya kuwa ugonjwa m'baya zaidi tangu uzuke.

Post a Comment

emo-but-icon
:noprob:
:smile:
:shy:
:trope:
:sneered:
:happy:
:escort:
:rapt:
:love:
:heart:
:angry:
:hate:
:sad:
:sigh:
:disappointed:
:cry:
:fear:
:surprise:
:unbelieve:
:shit:
:like:
:dislike:
:clap:
:cuff:
:fist:
:ok:
:file:
:link:
:place:
:contact:

Hot in weekRecentComments

Recent

Kesi ya Godbless Lema na mkewe kumtukana Mkuu wa Mkoa wa Arusha yakwama kusikilizwa..

Kesi ya kumtukana Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo, inayomkabili Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini, Godbless lema na mke wake Neema Lema (33), imeshindwa kusikilizwa maelezo ya awali. Hatu...

PICHA 18: Style za nywele za baadhi ya mastaa wa muziki Nigeria

              Mastaa wa muziki ni watu ambao wanapenda kwenda na fashion kuanzia mavazi mpaka style za unyoaji. Kwa upande wa mastaa wa Nigeria tumez...

Donald Trump Akataa Kulipwa Mshahara wa Urais

Rais mteule wa Marekani, bilionea Donald Trump amesema hatakubali kupokea mshahara wa urais pindi atakapokuwa madarakani. Trump ameweka msimamo huo jana katika mahojiano maalum na mtangazaji maa...

Jealousy!!! Justine Skye can't stand seeing Wizkid with other girls

As much as we know, Wizkid and Justice Skye are together. Maybe not a great deal. But, at least, there's something going on with the two. To further prove the possibility of the two being deeply in...

Comments

Anonymous:

Hahahaha Safi sana nidhamu ikae Pahala pake

item