BRAZIL MGOMO WAZIDI KUPAMBA MOTO.
https://samchardtz.blogspot.com/2014/06/brazil-mgomo-wazidi-kupamba-moto.html
Zikiwa zimebaki siku mbili michuano ya fainali za kombe la Dunia
zianze kutimua vumbi nchini Brazil Wafanyikazi wa usafiri wa mjini Sao
Paulo wamepiga kura kuidhinisha mgomo wao uendelee kwa mda usiojulikana
licha ya uamuzi wa mahakama ya kazi nchini humo kuwaamuru waendelee
kufanya kazi kama zamani.
Mahakama imesema wakuu katika vyama vya wafanyikazi hao wa usafiri wa mjini Metro, walitumia mamlaka yao vibaya kwa kuanzisha mgomo tangu alhamisi iliyopita huku nusu ya vituo vya usafiri vikiwa tayari vimefungwa, msongamano wa magari umezidi kuizonga Sao Paulo.
Sasa wasiwasi unaongezeka, huku kilamtu akijiuliza Je hali ikiendelea hivyo itakuaje hapo alhamisi wakati jiji hilo ndilo linafungua dimba hilo?
Wafanyikazi hao wanadai nyongeza ya mshahara ya asilimia 12 ilhali serkali imesema itamudu nyongeza ya takrban asilimia 9.
Mahakama imesema wakuu katika vyama vya wafanyikazi hao wa usafiri wa mjini Metro, walitumia mamlaka yao vibaya kwa kuanzisha mgomo tangu alhamisi iliyopita huku nusu ya vituo vya usafiri vikiwa tayari vimefungwa, msongamano wa magari umezidi kuizonga Sao Paulo.
Sasa wasiwasi unaongezeka, huku kilamtu akijiuliza Je hali ikiendelea hivyo itakuaje hapo alhamisi wakati jiji hilo ndilo linafungua dimba hilo?
Wafanyikazi hao wanadai nyongeza ya mshahara ya asilimia 12 ilhali serkali imesema itamudu nyongeza ya takrban asilimia 9.