Flatnews

Mourinho achukizwa matokeo ya droo

Meneja wa Chelsea Jose Mourinho ...



Meneja wa Chelsea Jose Mourinho

Meneja wa timu ya Chelsea ya England, Jose Mourinho ameelezea kipindi cha mchezo kati ya timu yake na Norwich katika uwanja wake wa Stamford Bridge kama "kupoteza muda" katika mchezo huo uliomalizika kwa 0-0.
Amewashutumu wachezaji wake kwa mchezo wa "polepole" na "uvivu" katika mchezo kabla ya kipindi cha kwanza, lakini katika kipindi cha pili ilikuwa "tofauti kabisa".
Japokuwa Chelsea ilikosa nafasi ya kupaa kileleni mwa ligi kwa kuambulia pointi moja badala ya tatu ilizohitaji katika mchezo wake dhidi ya Norwich, lakini wako nafasi ya tatu na moja kwa moja kujihakikishia kucheza mashindano ya ligi ya mabingwa Ulaya, UEFA.
Mpaka sasa Manchester City wanaongoza kwa pointi 80 sawa na Liverpool iliyoko nafasi ya pili zikitofautiana kwa wingi wa magoli ya kufunga. Manchester City ina magoli 59 na Liverpool ina magoli 50 baada ya zote kucheza mechi 36.
Vinara hao wamebakiza mechi mbili mbili kukamilisha ligi kuu ya England msimu

Post a Comment

emo-but-icon
:noprob:
:smile:
:shy:
:trope:
:sneered:
:happy:
:escort:
:rapt:
:love:
:heart:
:angry:
:hate:
:sad:
:sigh:
:disappointed:
:cry:
:fear:
:surprise:
:unbelieve:
:shit:
:like:
:dislike:
:clap:
:cuff:
:fist:
:ok:
:file:
:link:
:place:
:contact:

Hot in weekRecentComments

Recent

Kesi ya Godbless Lema na mkewe kumtukana Mkuu wa Mkoa wa Arusha yakwama kusikilizwa..

Kesi ya kumtukana Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo, inayomkabili Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini, Godbless lema na mke wake Neema Lema (33), imeshindwa kusikilizwa maelezo ya awali. Hatu...

PICHA 18: Style za nywele za baadhi ya mastaa wa muziki Nigeria

              Mastaa wa muziki ni watu ambao wanapenda kwenda na fashion kuanzia mavazi mpaka style za unyoaji. Kwa upande wa mastaa wa Nigeria tumez...

Donald Trump Akataa Kulipwa Mshahara wa Urais

Rais mteule wa Marekani, bilionea Donald Trump amesema hatakubali kupokea mshahara wa urais pindi atakapokuwa madarakani. Trump ameweka msimamo huo jana katika mahojiano maalum na mtangazaji maa...

Jealousy!!! Justine Skye can't stand seeing Wizkid with other girls

As much as we know, Wizkid and Justice Skye are together. Maybe not a great deal. But, at least, there's something going on with the two. To further prove the possibility of the two being deeply in...

Comments

item