Flatnews

TAZAMA PICHA ZA AJALI YA BASI LA WIBONELA MJINI KAMA LEO ASUBUHI HIZI HAPA

Huzuni na majonzi imetanda asubuhi hii katika mji wa Kahama baada ya bus la Wibonela Express linalofanya safari zake  Kahama -Dar...



Huzuni na majonzi imetanda asubuhi hii katika mji wa Kahama baada ya bus la Wibonela Express linalofanya safari zake  Kahama -Dar kupinduka baada ya kutoka Stand kuu ya Kahama  kilomita chache kutoka stand katika eneo la Phantom  na kuua watu wanne na watu wengi kujeruhiwa.


Taarifa za awali zinasema chanzo cha  ajali hiyo ni mwendo kasi ,huku ikitajwa kuwa dereva alishindwa kulihili basi hilo na kupinduka katika kona ya Phantom.
Taarifa zaidi tutakuletea hivi punde
ANGALIA PICHA ZAIDI HAPA CHINI





























Picha na Malunde1

Post a Comment

emo-but-icon

item