Flatnews

MWANA F.A LAZIMA NIMKALISHE TI….


BINAMU

Msanii  maarufu  katika tasnia  ya   muziki  Mwinjuma  a.k.a MwanaFa hapo juzi amesikika  akitoa tambo zake  kwenye  kituo  kimoja cha  radio hapa  nchini  kuwa atamkalisha  msanii wa  kimataifa T.I ambaye  anakuja  nchini  kwenye  tamasha   kubwa  ambalo  hufanyika  kila mwaka . MwanaFA alisikika  akisema  kuwa  lazima  T.I akae  na  akamwambie  Lil Wayne na  wengine  wengi kuwa  Tanzania ni  hatariii

Post a Comment

emo-but-icon

item