Flatnews

MTI WA AJABU WASHANGAZA WANANCHI HUKO TABORA


10447627_721894961214173_1875934379784445685_n

Huko  mkoani  Tabora, mti  uliokuwa  umeanguka  miaka  mitatu  iliyopita umesimama  ghafla  na kwa  sauti  kubwa ya  mrindimo .
Wananchi wamekusanyika kila  mmoja akitaka kuchukua angalau gome la mti huo  kwa ajili ya  dawa ama kumbukumbu , na haya  ndio maajabu ya Tanzania.

Post a Comment

emo-but-icon

item