Flatnews

BAADA YA AMBER ROSE SASA NI SARA DAJSTANI

Wiz Khalifa na Amber Rose enzi za uhusiano wao


Wiz Khalifa na Amber Rose enzi za uhusiano wao
Wiz Khalifa na Amber Rose enzi za uhusiano wao
Baada ya ndoa ya rapa Wiz Khalifa na Amber Rose kuvunjika hivi karibuni ikiwa imedumu kwa miezi 14 tu huku wakimuacha mtoto wao Sebastian mwenye umri wa miezi 20 akiwa katika malezi ya upande mmoja, inasemekana kuwa Wiz Khalifa anatoka na mwanamitindo na model Sara Dajstani.
Wawili hao wamekuwa wakionekana pamoja katika sehemu mbalimbali za starehe nchini Marekani ambapo Jumanne ya wiki hii wameonekana maeneo ya Hollywood wakila bata japo ilikuwa ngumu kupata picha yao wakiwa pamoja.
Wiz na Sara walionekana wakiingia pamoja na kuondoka pamoja katika kiwanja hicho kitu kinachowafanya watu wadai kuwa Wiz na Amber Rose wanafanya mchezo wa kuoneshana kuwa wapo na nani kwa sasa.
Wiz-Khalifa-2
Wiz Khalifa na mwanamitindo Sara Dajstani anayesemekana kuwa, wana uhusiano wa kimapenzi

Post a Comment

emo-but-icon

item