Flatnews

HII NDIO STAGE AMBAYO T.I ATAWASHAMOTO SIKU YA LEO KWENYE FIESTA LEADERS CLUB



8stg
Baada ya kupita mikoa mbalimbali ya Tanzania sasa imefika zamu ya wakazi wa Dar es salaam kuonja utamu huu wenye msimu wa mafanikio ndani yake sehemu moja ambayo tutakusanyika wote.
Leaders Club ndiye sehemu pekee iliyoteuliwa kuwapokea wakali mbalimbali akiwemo Waje kutoka Nigeria,Victoria Kimani kutoka Kenya,T.i na wasanii wengine ambao watakua kama surprise kwenye jukwaa la Serengeti Fiesta 2014 Dsm.
Jukwaa tayari limekamilika kwa asilimia zaidi ya 80 na wasanii mbalimbali leo wataanza kulifanyia mazoezi kabla ya shughuli yenyewe ambayo ni kesho Oct 18,kiingilio ni 15,000 ukinunua kabla na 25,000 pale Getini.
Baadhi ya picha za hili jukwaa la Serengeti Fiesta Dar es salaam.
13stg
12stg
10stg
9stg
11stg
13stg
8stg
10stg
8stg
7stg
6stg
5stg
5stg
25stg  21stg   16stg
19stg
>>millard ayo

Post a Comment

emo-but-icon

item