Flatnews

MATUKIO KATIKA PICHA BUNGENI LEO MJINI DODOMA


PG4A8400Mbunge wa Viti Maalum Pauline Gekul akiwa Bungeni. (Na Mpigapicha Wetu)PG4A8405 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta  na Mbunge wa Urambo na Waziri wa Ushirikiano wa Afrika ya Mashariki, Samuel Sitta, bungeni mjini Dodoma May 8, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
PG4A8431Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum, bungeni mjini Dodoma May 8, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)PG4A8520Naibu Spika wa Bunge, Job Ndugai akiongozwa na mpambe wa Bunge kutoka ukumbili May 8, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Post a Comment

emo-but-icon

item