Makada wa CCM Waliochukua fomu Lumumba za Kuwania Uspika wa Bunge la Jamhuri
https://samchardtz.blogspot.com/2015/11/makada-wa-ccm-waliochukua-fomu-lumumba.html
Aliyekuwa Waziri wa Uchukuzi Mhe. Samuel
Sitta akisaini kitabu cha wageni kabla ya kuchukua fomu za kuwania
uspika wa bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mbele ya Katibu wa
Halmashauri Kuu ya CCM Taifa anayeshughulikia Oganaizesheni, Ndugu
Mohamed Seif Khatib
Aliyekuwa mbunge wa jimbo la Karagwe Gosbert
Blandes akikabidhiwa fomu za kuwania nafasi ya Uspika wa jamhuri ya
Muungano wa Tanzania kutoka kwa Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa
anayeshughulikia Oganaizesheni, Ndugu Mohamed Seif Khatib
George Nangale akipitia fomu ya kuwania
nafasi ya uspika wa bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mara baada
ya kukabidhiwa na Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa
anayeshughulikia Oganaizesheni, Ndugu Mohamed Seif Khatib katika ofisi
ndogo za CCM Lumumba.
Banda Sonoko akikabidhiwa fomu za kuwania
nafasi ya Uspika wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutoka kwa Katibu wa
Halmashauri Kuu ya CCM Taifa anayeshughulikia Oganaizesheni, Ndugu
Mohamed Seif Khatib
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa
anayeshughulikia Oganaizesheni, Ndugu Mohamed Seif Khatib akimkabidhi
fomu Ndugu Simon G. Rubugu
Hawa ndio waliojitokeza mpaka sasa kuchukua fomu Makao Makuu ya CCM Ofisi Ndogo Lumumba:
- Waziri wa Uchukuzi, Samuel Sitta
- Aliyekuwa mbunge wa Karagwe, Gosbert Blandes
- Leonce Mulenda
- George Nangale
- Profesa Costa Mahalu
- Muzamil Kalokola
- Banda Sonoko
- Simon Rubugu