Flatnews

Hivi ndivyo Kassim Majaliwa alivyo apishwa Rasmi Ikulu Ndogo Dodoma

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli, asubuhi hii amemuapisha Mbunge wa Ruangwa, Mh. Majaliwa Kas...



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli, asubuhi hii amemuapisha Mbunge wa Ruangwa, Mh. Majaliwa Kassim Majaliwa kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania mjini Dodoma.
 

Hafla ya Kumuapisha Mh. Majaliwa imefanyika kwenye Ikulu ya Chamwino mjini Dodoma na kuhudhuliwa na viongozi mbalimbali wa serikali wakiwemo, Makamu wa Rais wa Tanzania, Bi. samia Hassan Suluhu, Rais wa Zanziba, Dk. Ali Mohammed Shein, Makamu wa Rais Msitaafu, Dk. Gharib Bilal, Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh. Job Ndugai na Naibu Spika, Dk. Tulia Ackson, Wabunge, Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Jenerali Davis Mwamunyange, Wabunge na wageni wengine.

Related

NEWS 5333227275855293190

Post a Comment

emo-but-icon

item