Dk Shein atembelea miradi ya maendeleo
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein akipata maelezo kutoka kwa Kaimu Mkurugenzi...
https://samchardtz.blogspot.com/2015/11/dk-shein-atembelea-miradi-ya-maendeleo.html
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar Dk.Ali
Mohamed Shein akipata maelezo kutoka kwa Kaimu Mkurugenzi wa mamlaka ya
Mji Mkongwe wa Zanzibar Nd,Mussa Awesu Bakari wakati alipokuwa
akiangalia ramani ya Mradi wa ujenzi wa Ukuta wa Forodhani Mjini Unguja
leo akiwa katika ziara maalum ya kutembelea maendeleo ya Miradi mbali
mbali Mjini, [Picha na Ikulu.]
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein akimuuliza suala Kaimu
Mkurugenzi wa mamlaka ya Mji Mkongwe wa Zanzibar Nd,Mussa Awesu Bakari
wakati alipokuwa akiangalia Mradi wa ujenzi wa Ukuta wa Forodhani
Mjini Unguja leo akiwa katika ziara maalum ya kutembelea maendeleo ya
Miradi mbali mbali Mjini, [Picha na Ikulu.]
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar Dk.Ali
Mohamed Shein (kulia) akipata maelezo ya ramani ya ujenzi wa Mtaro wa
maji ya Mvua katika viwanja wa mnazi mmoja kutoka kwa Mhandisi wa
Manispaa ya Zanzibar Mzee Khamis Juma wakati alipotembelea mradi huo wa
ujenzi unaojengwa na kampuni ya CRJ kutokaChina,{picha na Ikulu.