Waomba mwana wa Wade afungwe miaka 7
Aliyekuwa rais wa Senegal Abdoulaye Wade na mwanawe Karim Wade Waendesha mashtaka nchini Senegal kat...
https://samchardtz.blogspot.com/2015/02/waomba-mwana-wa-wade-afungwe-miaka-7.html
Waendesha mashtaka nchini Senegal katika kesi inayohusu ufisadi ya
mwana wa kiume wa aliyekuwa rais
wa zamani wa Senegal Abdoulaye Wade
wameomba ahukumiwe kifungo cha miaka saba gerezani na faini ya dola
milioni 430.Karim Wade analaumiwa kwa kujipatia zadi ya dola milioni 200 kwa njia isiyo halali.
Bwana Wade anasema kuwa alipata utajiri akiwa mfanyi biashara barani ulaya kabla ya kurejea nyumbani ambapo alihudumu kama waziri kwenye serikali ya babake kwa miaka mitatu.