Flatnews

Kombe la Dunia 2014: Hawa hapa wachezaji wote 736 kutoka nchi 32 watakaokipiga nchini Brazil; Ribery, Tevez, Falcao, Reus, Negredo, Nasri jukwaani

Nchi zote 32 ambazo zitashiriki fainali za Kombe la Dunia nchini Brazil ambapo awali ziliwataja wachezaji 30 wa maangalizi na walita...


Nchi zote 32 ambazo zitashiriki fainali za Kombe la Dunia nchini Brazil ambapo awali ziliwataja wachezaji 30 wa maangalizi na walitakiwa kutaja wachezaji 23 tu hadi kufikia Juni 2 kwa ajili ya mashindano hayo makubwa Ulimwenguni kwa upande wa kandanda, tayari nchi hizo zimeanza kuwasili nchini Brazil zikiwa na wachezaji 23 kila moja tayari kuanza mashindano hayo.

Jambo kubwa na linaloshangaza na ambalo huenda likaondoa msisimko wa mashindano hayo mwaka huu, ni kutkosekana kwa majina makubwa ambayo yamekuwa yakifanya vizuri kwenye ligi kuu mbalimbali barani Ulaya.
Radamel Falcao, Franky Ribery, Reus hawatokuwepo kwenye timu zao kutokana na majeraha yanayowakabili. 
Lakini majina makubwa kama Carlos Tevez, Samir Nasri, Negredo, Donovan  na wengine mashuhuri hawatokuwepo kutokana na machaguo ya makocha.
Ifuatayo ni orodha ya wachezaji wa kila nchi ambao wametajwa kuziwakilisha nchi zao katika fainali za mwaka huu nchini Brazil. Wachezaji 736 kuziwakilisha nchi 32 ikiwa kila nchi imepeleka wachezaji 23.
Kundi A
Brazil
Brazil iliwataja wachezaji wake 23 lakini ikiwaacha wachezaji wa AC Milan Kaka na Robinho katika kikosi chake. Wachezaji wanne wa Chelsea David Luiz, Oscar, Ramires na Willian wameitwa. Mlinda mlango wa QPR Julio Cesar ambaye yupo kwa mkopo Toronto FC, pia amejumuishwa.


Kikosi kamili:
Walinda mlango: Julio Cesar (Toronto FC, kwa mkopo akitokea QPR), Jefferson (Botafogo), Victor (Atletico Mineiro).
Walinzi: Marcelo (Real Madrid), Daniel Alves (Barcelona), Maicon (AS Roma), Maxwell, Thiago Silva (wote Paris St-Germain), David Luiz (Chelsea), Dante (Bayern Munich), Henrique (Napoli).
Viungo: Paulinho (Tottenham Hotspur), Ramires , Willian, Oscar (wote Chelsea), Hernanes (Inter Milan), Luiz Gustavo (Wolfsburg), Fernandinho (Manchester City).
Washambuliaji: Bernard (Shakhtar Donetsk), Neymar (Barcelona), Fred (Fluminense), Jo (Atletico Mineiro), Hulk (Zenit St Petersburg).
Wachezaji wa dharura: Diego Cavalieri (Fluminese) Miranda, Filipe Luis (both Atletico Madrid), Rafinha (Bayern Munich), Lucas Leiva (Liverpool), Lucas Moura (Paris St-Germain), Alan Kardec (Sao Paulo).
Croatia
Croatia wachezaji wawili wanaokipiga nchini English katika kikosi cha wachezaji 23. Mlinzi wa Southampton Dejan Lovren, mshambuliaji wa Hull Nikica Jelavic na kiungo wa QPR Niko Kranjcar walikuwemo kwenye kikosi cha maangalizi cha kocha Niko Kovac, lakini Kranjcar aliondolewa kutokana na majeruhi. Mchezaji muhimu wa Croatia anayekipiga Real Madrid kiungo Luka Modric, ameitwa.
Kikosi kamili:
Walinda mlango: Stipe Pletikosa (Rostov), Danijel Subasic (Monaco), Oliver Zelenika (Dinamo Zagreb).
Walinzi: Darijo Srna (Shakhtar Donetsk), Dejan Lovren (Southampton), Vedran Corluka (Lokomotiv Moscow), Gordon Schildenfeld, Danijel Pranjic (wote Panathinaikos), Domagoj Vida (Dynamo Kiev), Sime Vrsaljko (Genoa).
Viungo: Luka Modric (Real Madrid), Ivan Rakitic (Sevilla), Ognjen Vukojevic (Dynamo Kiev), Ivan Perisic (Wolfsburg), Mateo Kovacic (Inter Milan), Marcelo Brozovic (Dinamo Zagreb), Sammir (Getafe), Ivan Mocinic (Rijeka).
Washambuliaji: Mario Mandzukic (Bayern Munich), Ivica Olic (Wolfsburg), Eduardo (Shakhtar Donetsk), Nikica Jelavic (Hull City), Ante Rebic (Fiorentina).
Mexico
Mexico imewataja kikosi chake cha wachezaji 23, huku fowadi wa Manchester United Javier Hernandez akiwa mchezaji pekee wa Premier League kwenye kikosi hicho. Mlinzi wa zamani wa Barcelona Rafael Marquez na fowadi wa Villarreal Giovani Dos Santos wamejumuishwa lakini Carlos Vela anaendelea kukosekana kimataifa.
Kikosi kamili:
Walinda mlango: Jose de Jesus Corona (Cruz Azul), Guillermo Ochoa (Ajaccio), Alfredo Talavera (Toluca).
Walinzi: Miguel Layun (America), Carlos Salcido (Tigres), Paul Aguilar (America), Andres Guardado (Bayer Leverkusen), Hector Moreno (Espanyol), Francisco Javier Rodriguez (America), Diego Reyes (Porto), Rafael Marquez (Leon).
Viungo: Miguel Angel Ponce (Toluca), Jose Juan Vazquez (Leon), Luis Montes (Leon), Hector Herrera (Porto), Isaac Brizuela (Toluca), Marco Fabian (Cruz Azul), Carlos Pena (Leon).
Washambuliaji: Oribe Peralta (Santos), Javier Hernandez (Manchester United), Giovani dos Santos (Villarreal), Raul Jimenez (America), Alan Pulido (Tigres).
Cameroon


Kikosi cha Cameroon cha wachezaji 23 hakina mshangao mkubwa kikiwa na mshambuliaji wa Chelsea Samuel Eto'o na mfungaji wa magoli 16 wa Lorient Vincent Aboubakar. Mohamadou Idrissou ameondolewa baada ya kukosa penalti kwenye mchezo wa kirafiki dhidi ya Paraguay.
Kikosi kamili:
Walinda mlango: Loic Feudjou (Coton Sport), Charles Itandje (Konyaspor), Sammy Ndjock (Fethiyespor).
Walinzi: Benoit Assou-Ekotto (QPR, on loan from Tottenham Hotspur), Henri Bedimo (Lyon), Aurelien Chedjou (Galatasaray), Cedric Djeugou (Coton Sport), Nicolas Nkoulou (Marseille), Dany Nounkeu (Besiktas), Allan Nyom (Granada).
Viungo: Enoh Eyong (Antalyaspor), Jean Makoun (Rennes), Joel Matip (Schalke), Stephane Mbia (Sevilla, on loan from QPR), Benjamin Moukandjo (Nancy), Landry Nguemo (Bordeaux), Edgar Salli (Lens), Alex Song (Barcelona).
Washambuliaji: Vincent Aboubakar (Lorient), Eric-Maxim Choupo Moting (Mainz), Samuel Eto'o (Chelsea), Fabrice Olinga (Malaga), Achille Webo (Fenerbahce).
Kundi B


Uhispania
Mabingwa watetezi Uhispania imemtaja mshambuliaji majeruhi mzaliwa wa Brazil Diego Costa na fowadi wa Chelsea Fernando Torres katika kikosi chake cha wachezaji 23.
Kiungo wa Bayern Munich Thiago Alcantara atakosa mashindano ya mwaka huu baada ya kuumia goti hivyo akajiondoa.
Wachezaji wawili wa Manchester City Alvaro Negredo na Jesus Navas ni miongoni mwa majina makubwa yaliyokatwa kutoka kwenye kikosi cha wachezaji 30.
Kikosi kamili:
Walinda mlango: Iker Casillas (Real Madrid), Pepe Reina (Napoli), David De Gea (Manchester United).
Walinzi: Sergio Ramos (Real Madrid), Gerard Pique (Barcelona), Raul Albiol (Napoli), Cesar Azpilicueta (Chelsea), Juanfran (Atletico Madrid), Jordi Alba (Barcelona).
Viungo: Xavi (Barcelona), Xabi Alonso (Real Madrid), Sergio Busquets (Barcelona), Andres Iniesta (Barcelona), Cesc Fabregas (Barcelona), Santi Cazorla (Arsenal), Koke (Atletico Madrid), Javi Martinez (Bayern Munich).
Washambuliaji: David Silva (Manchester City), Diego Costa (Atletico Madrid), Fernando Torres (Chelsea), Pedro (Barcelona), Juan Mata (Manchester United), David Villa (Atletico Madrid).
Uholanzi
Boss wa Uholanzi Louis van Gaal amewataja wachezaji 23 sita kati yao wakikipiga kwenye soka la British. Mshambuliaji Robin van Persie, ambaye atacheza chini ya meneja huyo kwenye klabu ya Manchester United msimu ujao yumo kikosini na mlinzi wa Aston Villa Ron Vlaar na kiungo wa Norwich Leroy Fer.
Rafael van der Vaart aliondolewa kwenye kikosi cha maangalizo kwa sababu ya kuumia.
Kikosi kamili:
Walinda mlango: Jasper Cillessen (Ajax), Tim Krul (Newcastle), Michel Vorm (Swansea)
Walinzi: Daley Blind, Joel Veltman (both Ajax), Stefan de Vrij, Daryl Janmaat, Terence Kongolo, Bruno Martins Indi, (wote Feyenoord), Paul Verhaegh (FC Augsburg), Ron Vlaar (Aston Villa).
Viungo: Jordy Clasie (Feyenoord), Jonathan de Guzman (Swansea), Nigel de Jong (AC Milan), Leroy Fer (Norwich), Arjen Robben (Bayern Munich), Wesley Sneijder (Galatasaray), Georginio Wijnaldum (PSV Eindhoven).
Washambuliaji: Memphis Depay (PSV Eindhoven), Klaas-Jan Huntelaar (Schalke 04), Dirk Kuyt (Fenerbahce), Jeremain Lens (Dynamo Kiev), Robin van Persie (Manchester United).
Chile
Chile imewataja wachezaji 23 ambao inamjumuisha kikosini kiungo wa Juventus Arturo Vidal licha ya mchezaji huyo, 26 kufanyiwa upasuaji karibuni kufuatia matatizo ya goti. Mshambuliaji wa Barcelona Alexis Sanchez anaungana na Gary Medel, Gonzalo Jara na Jean Beausejour. Mshambuliaji Esteban Paredes amejumuishwa licha ya kuondolewa awali kwenye kikosi cha maangalizi.
Kikosi kamili:
Walinda mlango: Claudio Bravo (Real Sociedad), Johnny Herrera (Universidad de Chile), Cristopher Toselli (Universidad Catolica)
Walinzi: Gary Medel (Cardiff City), Gonzalo Jara (Nottingham Forest), Jose Rojas (Universidad de Chile), Eugenio Mena (Santos), Mauricio Isla (Juventus).
Viungo: Jorge Valdivia (Palmeiras), Felipe Gutierrez (Twente), Jose Pedro Fuenzalida (Colo Colo), Francisco Silva (Osasuna), Arturo Vidal (Juventus), Charles Aranguiz (Internacional), Marcelo Diaz (Basel), Carlos Carmona (Atalanta), Miiko Albornoz (Malmo).
Washambuliaji: Alexis Sanchez (Barcelona), Esteban Paredes (Colo Colo) Eduardo Vargas (Valencia), Jean Beausejour (Wigan Athletic), Mauricio Pinilla (Cagliari), Fabian Orellana (Celta).
Australia
Australia imewaita kikosini wachezaji wawili wa League One, Bailey Wright na Massimo Luongo, katika kikosi cha maandalizi. Kiungo wa Crystal Palace Mile Jedinak na mlinzi wa Newcastle Curtis Good, aliyeko kwa mkopo Dundee United, walikuwa ni wachezaji wawili pekee wa Premier League lakini hakukuwa na nafasi kwenye kikosi kwa Lucas Neill.
Kikosi kamili:
Walinda mlango: Mark Birighitti (Newcastle Jets), Eugene Galekovic (Adelaide United), Mitchell Langerak (Borussia Dortmund), Mat Ryan (Club Brugge).
Walinzi: Jason Davidson (Heracles Almelo), Ivan Franjic (Brisbane Roar), Ryan McGowan (Shandong Luneng Taishan), Matthew Spiranovic (Western Sydney Wanderers), Alex Wilkinson (Jeonbuk Hyundai), Luke Wilkshire (Dinamo Moscow), Bailey Wright (Preston North End).
Viungo: Oliver Bozanic (Luzern), Mark Bresciano (Al Gharafa), James Holland (Austria Vienna), Mile Jedinak (Crystal Palace), Massimo Luongo (Swindon Town), Matthew McKay (Brisbane Roar), Mark Milligan (Melbourne Victory), Tommy Oar (Utrecht), Tommy Rogic (Melbourne Victory), James Troisi (Melbourne Victory), Dario Vidosic (Sion).
Washambuliaji: Tim Cahill (New York Red Bulls), Ben Halloran (Fortuna Dusseldorf), Josh Kennedy (Nagoya Grampus 8), Matthew Leckie (FSV Frankfurt 1899), Adam Taggart (Newcastle Jets).
Kundi C


Colombia
Mshambuliaji wa Colombia Radamel Falcao alitajwa kwenye kikosi cha wachezaji 30 licha ya kutocheza tangu Januari kufuatia kusumbuliwa majeraha. Mlinzi aliyeko kwa mkopo West Ham Pablo Armero ni mchezaji pekee wa Premier League kujumuishwa.
Kikosi kamili:
Walinda mlango: David Ospina (Nice), Faryd Mondragon (Deportivo Cali), Camilo Vargas (Independiente Santa Fe).
Walinzi: Mario Yepes (AC Milan), Cristian Zapata (AC Milan), Pablo Armero (West Ham, on loan from Napoli), Camilo Zuniga (Napoli), Aquivaldo Mosquera (Club America), Santiago Arias (PSV Eindhoven), Luis Amaranto Perea (Cruz Azul), Eder Alvarez Balanta (River Plate), Carlos Valdes (San Lorenzo).
Viungo: Fredy Guarin (Inter Milan), Juan Cuadrado (Fiorentina), Victor Ibarbo (Cagliari), James Rodriguez (Monaco), Abel Aguilar (Toulouse), Juan Fernando Quintero (Porto), Carlos Sanchez (Elche), Macnelly Torres (Al Shabab), Aldo Leao Ramirez (Morelia), Edwin Valencia (Fluminense), Alexander Mejia (Atletico Nacional), Elkin Soto (Mainz).
Washambuliaji: Radamel Falcao (Monaco), Luis Fernando Muriel (Udinese), Jackson Martinez (Porto), Carlos Bacca (Sevilla), Adrian Ramos (Hertha Berlin), Teofilo Gutierrez (River Plate).
Ugiriki
Mshambuliaji wa Fulham Konstantinos Mitroglou amejumuishwa kwenye kikosi cha wachezaji 23 licha ya kucheza kwa dakika 120 tangu aliposainishwa mwezi Januari kufuatia kusumbuliwa na majeruhi. Mchezaji mwenza wa Cottagers Giorgos Karagounis na mchezaji wa Celtic Georgios Samaras wameitwa pia.
Kikosi kamili:
Walinda mlango: Orestis Karnezis (Granada), Panagiotis Glykos (PAOK), Stefanos Kapino (Panathinaikos).
Walinzi: Kostas Manolas, Giannis Maniatis, Jose Holebas (all Olympiakos), Sokratis Papastathopoulos (Borussia Dortmund), Giorgios Tzavellas (PAOK), Loukas Vyntra (Levante), Vasilis Torosidis (Roma), Vangelis Moras (Verona).
Viungo: Alexandros Tziolis (Kayserispor), Andreas Samaris (Olympiakos), Kostas Katsouranis (PAOK), Giorgos Karagounis (Fulham), Panagiotis Tachtsidis (Torino), Ioannis Fetfatzidis (Genoa), Lazaros Christodoulopoulos (Bologna), Panagiotis Kone (Bologna).
Washambuliaji: Dimitris Salpingidis (PAOK), Giorgios Samaras (Celtic), Konstantinos Mitroglou (Fulham), Theofanis Gekas (Konyaspor).
Ivory Coast


Mshambuliaji wa Galatasaray Didier Drogba, 36, anajiandaa kucheza fainali za tatu na fainali hizi zitakuwa za mwisho baada ya kutajwa kwenye kikosi cha wachezaji 23. Ndugu wawili Yaya na Kolo Toure wanajiunga na wachezaji wenza wa Premier League Cheick Tiote na Wilfried Bony.
Kikosi kamili:
Walinda mlango: Boubacar Barry (Lokeren), Sylvain Gbohouo (Sewe Sport), Sayouba Sande (Stabaek).
Walinzi: Kolo Toure (Liverpool), Sol Bamba (Trabzonspor), Didier Zokora (Trabzonspor), Serge Aurier (Toulouse), Arthur Boka (Stuttgart), Ousmane Viera Diarrassouba (Caykur Rizespor), Constant Djakpa (Frankfurt), Jean-Daniel Akpa-Akpro (Toulouse).
Viungo: Yaya Toure (Manchester City), Cheik Tiote (Newcastle), Serey Die (Basel), Max Gradel (Saint Etienne), Diomande Ismael (Saint Etienne), Didier Ya Konan (Hannover), Mathis Bolly (Dusseldorf).
Washambuliaji: Gervinho (Roma), Didier Drogba (Galatasaray), Salomon Kalou (Lille), Wilfried Bony (Swansea), Giovanni Sio (Basel).
Japan
Japan imewaita kikosini wachezaji 12 wanaokipiga Ulaya katika kikosi chake cha wachezaji 23, akiwemo kiungo wa Manchester United Shinji Kagawa na mlinzi wa Southampton Maya Yoshida. Kiungo wa AC Milan Keisuke Honda pia ameitwa sanjari na kiungo wa Gamba Osaka Yasuhito Endo aliyeichezea Japan mechi 141.
Kikosi kamili:
Walinda mlango: Eiji Kawashima (Standard Liege), Shusaku Nishikawa (Urawa Reds), Shuichi Gonda (FC Tokyo).
Walinzi: Masato Morishige (FC Tokyo), Yasuyuki Konno (Gamba Osaka), Yuto Nagatomo (Inter Milan), Maya Yoshida (Southampton), Masahiko Inoha (Jubilo Iwata), Atsuto Uchida (Schalke 04), Hiroki Sakai (Hannover 96), Gotoku Sakai (VfB Stuttgart).
Viungo: Yasuhito Endo (Gamba Osaka), Keisuke Honda (AC Milan), Shinji Kagawa (Manchester United), Makoto Hasebe (FC Nuremberg), Hiroshi Kiyotake (FC Nuremberg), Hotaru Yamaguchi (Cerezo Osaka), Toshihiro Aoyama (Sanfrecce Hiroshima), Manabu Saito (Yokohama F. Marinos).
Washambuliaji: Shinji Okazaki (Mainz), Yoichiro Kakitani (Cerezo Osaka), Yuya Osako (TSV Munich 1860), Yoshito Okubo (Kawasaki Frontale).
Kundi D


Uruguay
Uruguay imewaita wachezaji 23 wakiwemo wachezaji wa Liverpool Luis Suarez na Sebastian Coates. Mshambuliaji wa Paris St-Germain Edinson Cavani na Diego Forlan, 34, anayekipiga nchini Japan, pia wameitwa.
Kikosi kamili:
Walinda mlango: Fernando Muslera (Galatasaray), Martin Silva (Vasco da Gama), Rodrigo Munoz (Libertad).
Walinzi: Maximiliano Pereira (Benfica), Diego Lugano (West Bromwich Albion), Diego Godin, Jose Maria Gimenez (both Atletico Madrid), Sebastian Coates (Liverpool), Martin Caceres (Juventus), Jorge Fucile (Porto).
Viungo: Alvaro Gonzalez (Lazio), Alvaro Pereira (Sao Paulo), Walter Gargano (Parma), Egidio Arevalo Rios (Morelia), Diego Perez (Bologna), Cristian Rodriguez (Atletico Madrid), Gaston Ramirez (Southampton), Nicolas Lodeiro (Botafogo).
Washambuliaji: Luis Suarez (Liverpool), Edinson Cavani (Paris St-Germain), Abel Hernandez (Palermo), Diego Forlan (Cerezo Osaka), Christian Stuani (Espanyol).
Costa Rica
Costa Rica itakwenda nchini Brazil bila fowadi wake mashuhuri Alvaro Saborio, ambaye amevunjika mguu wakati wa mazoezi. Joel Campbell, aliyeko Olympiakos kwa mkopo akitokea Arsenal, na mchezaji wa Fulham Bryan Ruiz, aliyeko kwa mkopo PSV, wanatengeneza kikosi cha wachezaji 23. Mlinzi wa Everton Bryan Oviedo atakosekana kutokana na kuugua.
Kikosi kamili:
Walinda mlango: Keylor Navas (Levante), Patrick Pemberton (Alajuelense) Daniel Cambronero (Herediano).
Walinzi: Johnny Acosta (Alajuelense), Giancarlo Gonzalez (Columbus Crew), Michael Umana (Saprissa), Oscar Duarte (Bruges), Waylon Francis (Columbus Crew), Heiner Mora (Saprissa), Junior Diaz (Mainz 05), Christian Gamboa (Rosenborg), Roy Miller (New York Red Bulls).
Viungo: Celso Borges (AIK), Christian Bolanos (Copenhagen), Esteban Granados (Herediano), Michael Barrantes (Aalesund), Yeltsin Tejeda (Saprissa), Diego Calvo (Valerenga), Jose Miguel Cubero (Herediano).
Washambuliaji: Bryan Ruiz (PSV Eindhoven, kwa mkopo kutoka Fulham), Joel Campbell (Olympiakos, kwa mkopo kutoka Arsenal), Randall Brenes (Cartagines), Marco Urena (FC Kuban Krasnodar).
England
Boss wa England Roy Hodgson amekitaja kikosi chake cha wachezaji 23 huku wachezaji kadhaa wakikosa uzoefu wa mashindano ya kimataifa. Wachezaji watatu wa Southampton Luke Shaw, Adam Lallana na Rickie Lambert na kiungo wa Everton Ross Barkley wamejumuishwa. Beki wa kulia Ashley Cole, aliyeichezea England michezo 107 hatokuwepo Brazil baada ya kuwachwa kikosini.
Kikosi kamili:
Walinda mlang: Fraser Forster (Celtic), Ben Foster (West Bromwich Albion), Joe Hart (Manchester City).
Walinzi: Leighton Baines (Everton), Gary Cahill (Chelsea), Phil Jagielka (Everton), Glen Johnson (Liverpool), Phil Jones (Manchester United), Luke Shaw (Southampton), Chris Smalling (Manchester United).
Viungo: Ross Barkley (Everton), Steven Gerrard, Jordan Henderson (both Liverpool), Adam Lallana (Southampton), Frank Lampard (Chelsea), James Milner (Manchester City), Alex Oxlade-Chamberlain (Arsenal), Raheem Sterling (Liverpool), Jack Wilshere (Arsenal).
Washambuliaji: Rickie Lambert (Southampton), Wayne Rooney (Manchester United), Daniel Sturridge (Liverpool), Danny Welbeck (Manchester United).
Italia
Mshambuliaji wa Fiorentina Giuseppe Rossi amewachwa kwenye kikosi cha wachezaji 23, licha ya kupona goti, lakini Antonio Cassano wa Parma amejumuishwa kikosini baada ya kupunguza uzito wa kilo 10. Mchezaji wa Torino Ciro Immobile amejumuishwa baada ya kufunga mabao 22 kwenye Serie A msimu huu.
Kikosi kamili:
Walinda mlango: Gianluigi Buffon (Juventus), Salvatore Sirigu (Paris St Germain), Mattia Perin (Genoa).
Walinzi: Andrea Barzagli, Leonardo Bonucci, Giorigo Chiellini (wote Juventus), Gabriel Paletta (Parma), Ignazio Abate, Mattia De Sciglio (wote AC Milan), Matteo Darmian (Torino).
Viungo: Andrea Pirlo, Claudio Marchisio (wote Juventus), Thiago Motta, Marco Verratti (both Paris St Germain), Daniele De Rossi (AS Roma), Antonio Candreva (Lazio), Marco Parolo (Parma), Alberto Aquilani (Fiorentina).
Washambuliaji: Mario Balotelli (AC Milan), Antonio Cassano (Parma), Alessio Cerci (Torino), Ciro Immobile (Torino), Lorenzo Insigne (Napoli).
Kundi E
Switzerland
Kocha wa Switzerland Ottmar Hitzfeld ametaja kikosi cha wachezaji 23 akiwajumuisha beki wa kulia wa Juventus Stephan Lichtsteiner na winga wa Bayern Munich Xherdan Shaqiri wachezaji wenye majina makubwa zaidi kwenye kikosi hicho. Kiungo wa Fulham Pajtim Kasami amewekwa kwenye orodha ya wachezaji wa dharura.
Kikosi kamili:
Walinda mlango: Diego Benaglio (Wolfsburg), Roman Buerki (Grasshopper), Yann Sommer (Basel).
Walinzi: Johan Djourou (Hamburg), Michael Lang (Grasshopper), Stephan Lichtsteiner (Juventus), Ricardo Rodriguez (Wolfsburg), Fabian Schaer (Basel), Philippe Senderos (Valencia), Steve von Bergen (Young Boys), Reto Ziegler (Sassuolo).
Viungo: Tranquillo Barnetta (Eintracht Frankfurt), Valon Behrami (Napoli), Blerim Dzemaili (Napoli), Gelson Fernandes (Freiburg), Gokhan Inler (Napoli), Xherdan Shaqiri (Bayern Munich), Valentin Stocker (Basel).
Washambuliaji: Josip Drmic (Nuremberg), Mario Gavranovic (Zurich), Admir Mehmedi (Freiburg), Haris Seferovic (Real Sociedad), Granit Xhaka (Borussia Monchengladbach).
Wachezaji wa dharura: Marwin Hitz (Augsburg), Timm Klose (Wolfsburg), Silvan Widmer (Udinese), Eren Derdiyok (Bayer Leverkusen), Fabian Frei (Basel), Pajtim Kasami (Fulham), Pirmin Schwegler (Eintracht Frankfurt).
Ecuador
Kiungo wa Manchester United Antonio Valencia yumo kikosini. Kulikuwa na wachezaji wanne ambao hawakuwahi kuichezea Ecuador katika kikosi cha maangalizi - kiungo wa Stuttgart Carlos Gruezo, 19, washambuliaji wa ndani Cristian Penilla, Angel Mena na Armando Wila lakini ni Gruezo pekee ndiyo amejumuishwa kwenye kikosi cha mwisho.
Kikosi kamili:
Walinda mlango: Maximo Banguera (Barcelona SC), Alexander Dominguez (LDU Quito), Adrian Bone (El Nacional).
Walinzi: Frickson Erazo (Flamengo), Jorge Guagua, Oscar Bagui, Gabriel Achilier (all Emelec), Walter Ayovi (Pachuca), Juan Carlos Paredes (Barcelona SC).
Viungo: Segundo Castillo (Al-Hilal), Carlos Gruezo (Stuttgart), Renato Ibarra (Vitesse Arnhem), Cristian Noboa (Dynamo Moscow), Luis Saritama (Barcelona SC), Antonio Valencia (Manchester United), Edison Mendez (Independiente Santa Fe), Fidel Martinez (Tijuana), Michael Arroyo (Atlante).
Washambuliaji: Felipe Caicedo (Al-Jazira), Jefferson Montero (Morelia), Joao Rojas (Cruz Azul), Jaime Ayovi (Tijuana), Enner Valencia (Pachuca).
Ufaransa


Kiungo wa Manchester City Samir Nasri amewachwa, wakati boss Didier Deschamps akisema: "Nimekijenga kikosi bora, Sijawateua wachezaji 23 bora wa Ufaransa." Kikosi cha Ufaransa kinajumuisha wachezaji tisa wanaokipiga English; Patrice Evra, Moussa Sissoko na Loic Remy.
Mchezaji wa Bayern Munich Franck Ribery ameondolewa dakika za majeruhi kutokana na kusumbuliwa na majeraha ya mgongo.
Kikosi kamili:
Walinda mlango: Hugo Lloris (Tottenham Hotspur), Stephane Ruffier (Marseille), Mickael Landreau (Bastia).
Walinzi: Mathieu Debuchy (Newcastle), Lucas Digne (Paris St-Germain) Patrice Evra (Manchester United), Laurent Koscielny, Bacary Sagna (both Arsenal), Eliaquim Mangala (Porto), Mamadou Sakho (Liverpool), Raphael Varane (Real Madrid).
Viungo: Yohan Cabaye, Blaise Matuidi (wote Paris St-Germain), Rio Mavuba (Lille), Paul Pogba (Juventus), Morgan Schneiderlin (Southampton), Moussa Sissoko (Newcastle), Mathieu Valbuena (Marseille).
Washambuliaji: Karim Benzema (Real Madrid), Remy Cabella (Montpellier), Olivier Giroud (Arsenal), Antoine Griezmann (Real Sociedad), Loic Remy (Newastle, kwa mkopo kutoka QPR).
Honduras
Honduras imewaita wachezaji sita wanaokipiga kwenye soka la British katika kikosi chake cha wachezaji 23. Mlinzi wa Hull Maynor Figueroa, kiungo wa Stoke Wilson Palacios, wachezaji wawili wa Wigan Roger Espinoza na Juan Carlos Garcia, mchezaji wa Celtic Emilio Izaguirre na mchezaji wa Rangers Arnold Peralta wote wameitwa.
Kikosi kamili:
Walinda mlango: Noel Valladares, Donis Escober (both Olimpia), Luis Lopez (Real Espana).
Walinzi: Brayan Beckeles (Olimpia), Emilio Izaguirre (Celtic), Juan Carlos Garcia (Wigan), Maynor Figueroa (Hull), Victor Bernardez (San Jose Earthquakes), Osman Chavez (Qingdao Janoon), Juan Pablo Montes (Motagua).
Viungo: Arnold Peralta (Rangers), Luis Garrido (Olimpia), Roger Espinoza (Wigan), Jorge Claros (Motagua), Wilson Palacios (Stoke), Oscar Garcia (Houston Dynamo), Andy Najar (Anderlecht), Mario Martinez (Real Espana), Marvin Chavez (Chivas USA).
Washambuliaji: Jerry Bengtson (New England Revolution), Jerry Palacios (Alajuelense), Carlo Costly (Real Espana), Rony Martinez (Real Sociedad).
Kundi F
Argentina


Mshambuliaji wa Juventus Carlos Tevez, kama ilivyotarajiwa, hakujumuishwa kwenye kikosi cha Argentina. Mlinzi wa Manchester City Martin Demichelis na mchezaji wa Werder Bremen Franco Di Santo walijumuishwa awali kwenye kikosi cha maangalizi cha wachezaji 30, lakini Di Santo akatemwa baada ya kikosi kupunguzwa hadi wachezaji 26.
Kikosi kamili:
Walinda mlango: Sergio Romero (Sampdoria), Mariano Andujar (Catania), Agustin Orion (Boca Juniors).
Walinzi: Pablo Zabaleta (Manchester City), Federico Fernandez (Napoli), Ezequiel Garay (Benfica), Marcos Rojo (Sporting Lisbon), Hugo Campagnaro (Inter Milan), Martin Demichelis (Manchester City), Jose Basanta (Monterrey), Nicolas Otamendi (Atletico Mineiro).
Viungo: Javier Mascherano (Barcelona), Fernando Gago (Boca Juniors), Lucas Biglia (Lazio), Ever Banega (Newell's Old Boys), Ricardo Alvarez (Inter Milan), Augusto Fernandez (Celta Vigo), Jose Sosa (Atletico Madrid), Angel Di Maria (Real Madrid), Maxi Rodriguez (Newell's Old Boys), Enzo Perez (Benfica).
Washambuliaji: Lionel Messi (Barcelona), Gonzalo Higuain (Napoli), Sergio Aguero (Manchester City), Rodrigo Palacio (Inter Milan), Ezequiel Lavezzi (Paris St-Germain).
Bosnia-Hercegovina
Bosnia-Hercegovina awali kilitaja wachezaji 24 katika kikosi chake cha maangalizi kwa ajili ya mashindano yao ya kwanza. Mshambuliaji wa Manchester City Edin Dzeko na mlinda mlango wa Stoke City Asmir Begovic ni wachezaji wawili pekee wa Premier League kujumuishwa kwenye kikosi hicho.
Kikosi kamili:
Walinda mlango: Asmir Begovic (Stoke City), Asmir Avdukic (Borac Banja Luka), Jasmin Fejzic (VFR Aalen).
Walinzi: Emir Spahic (Bayer Leverkusen), Toni Sunjic (Zorya Lugansk), Sead Kolasinac (Schalke), Ognjen Vranjes (Elazigspor), Ervin Zukanovic (Gent), Ermin Bicakcic (Eintracht Braunschweig), Muhamed Besic (Ferencvaros).
Viungo: Miralem Pjanic (Roma), Izet Hajrovic (Galatasaray), Mensur Mujdza (Freiburg), Haris Medunjanin (Gaziantepspor), Senad Lulic (Lazio), Anel Hadzic (Sturm), Tino Susic (Hajduk), Sejad Salihovic (Hoffenheim), Zvjezdan Misimovic (Guizhour Renhe), Senijad Ibricic (Erciyesspor), Avdija Vrsaljevic (Hajduk).
Washambuliaji: Vedad Ibisevic (VfB Stuttgart), Edin Dzeko (Manchester City), Edin Visca (Istanbul BB).
Iran
Iran imewaita kikosini kiungo wa Fulham Ashkan Dejagah na mchezaji wa Charlton Reza Ghoochannejhad. Boss Carlos Queiroz alimjumuisha katika kikosi cha maangalizi mchezaji kinda wa Rubin Kazan ambaye hajawahi kuichezea nchi yake Sardar Azmoun lakini hakumuita kwenye kikosi cha mwisho.
Kikosi kamili:
Walinda mlango: Daniel Davari (Eintracht Braunschweig), Alireza Haghighi (Sporting Covilha, on loan from Rubin Kazan), Rahman Ahmadi (Sepahan).
Walinzi: Hossein Mahini (Persepolis), Steven Beitashour (Vancouver Whitecaps), Pejman Montazeri (Umm Salal), Jalal Hosseini (Persepolis), Amir-Hossein Sadeghi (Esteghlal), Ahmad Alenemeh (Naft), Hashem Beikzadeh (Esteghlal), Mehrdad Pouladi (Persepolis).
Viungo: Javad Nekounam (Kuwait SC), Andranik Teymourian (Esteghlal), Reza Haghighi (Persepolis), Ghasem Haddadifar (Zob Ahan), Bakhtiar Rahmani (Foolad), Ehsan Hajsafi (Sepahan).
Washambuliaji: Ashkan Dejagah (Fulham), Masoud Shojaei (Las Palmas), Alireza Jahanbakhsh (NEC Nijmegen), Reza Ghoochannejhad (Charlton), Karim Ansarifard (Tractor Saz, on loan from Persepolis), Khosro Heydari (Esteghlal).
Nigeria
Nigeria ilimtaja kwenye kikosi chake cha maangalizi mshambuliaji wa Newcastle Shola Ameobi. Wachezaji wenza wa Premier League Peter Odemwingie, Victor Moses, Joseph Yobo na John Mikel Obi pia wameitwa kikosini.
Kikosi kamili:
Walinda mlango: Vincent Enyeama (Lille), Austin Ejide (Hapoel Be'er Sheva), Chigozie Agbim (Gombe United).
Walinzi: Elderson Echiejile (Monaco), Efe Ambrose (Celtic), Godfrey Oboabona (Rizespor), Azubuike Egwuekwe (Warri Wolves), Kenneth Omeruo (Middlesbrough), Juwon Oshaniwa (Ashdod), Joseph Yobo (Norwich, on loan from Fenerbahce), Kunle Odunlami (Sunshine Stars).
Viungo: John Mikel Obi (Chelsea), Ramon Azeez (Almeria), Ogenyi Onazi (Lazio), Reuben Gabriel (Waasland-Beveren), Michael Babatunde (Volyn Lutsk).
Washambuliaji: Ahmed Musa (CSKA Moscow), Shola Ameobi (Newcastle), Emmanuel Emenike (Fenerbahce), Michael Uchebo (Cercle Brugge), Peter Odemwingie (Stoke), Victor Moses (Liverpool, kwa mkopo akitokea Chelsea), Uche Nwofor (Heerenveen).
Kundi G
Ujerumani


Ujerumani imemuita kikosini mtaalamu wao wa Kombe la Dunia Miroslav Klose ambaye anahitaji magoli mawili tu kuivunja rekodi ya Ronaldo anayeshikilia rekodi ya ufungaji bora wa Kombe la Dunia kwa magoli yake 15. Kiungo wa Real Madrid Sami Khedira amejumuishwa pia licha kuwa nje karibu nusu ya msimu kufuatia kufanyiwa upasuaji.
Kikosi kamili:
Walinda mlango: Manuel Neuer (Bayern Munich), Roman Weidenfeller (Borussia Dortmund), Ron-Robert Zieler (Hannover)
Walinzi: Jerome Boateng (Bayern Munich), Erik Durm (Borussia Dortmund), Kevin Grosskreutz (Borussia Dortmund), Benedikt Howedes (Schalke), Mats Hummels (Borussia Dortmund), Philipp Lahm (Bayern Munich), Per Mertesacker (Arsenal).
Viungo: Julian Draxler (Schalke), Matthias Ginter (Freiburg), Mario Gotze (Bayern Munich), Christoph Kramer (Borussia Monchengladbach), Sami Khedira (Real Madrid), Toni Kroos (Bayern Munich), Thomas Muller (Bayern Munich), Mesut Ozil (Arsenal), (Borussia Dortmund), Andre Schurrle (Chelsea), Bastian Schweinsteiger (Bayern Munich).
Washambuliaji: Miroslav Klose (Lazio), Lukas Podolski (Arsenal).
Ureno
Nahodha wa Ureno Cristiano Ronaldo ametajwa kwenye kikosi cha wachezaji 23 kwa ajili ya Kombe la Dunia licha ya kukumbwa na majeruhi siku za hivi karibuni. Winga wa Manchester United ni mchezaji pekee kutoka Premier League kujumuishwa kikosini. Winga wa FC Porto Ricardo Quaresma alikuwa mchezaji pekee mwenye jina kubwa kuondolewa kwenye kikosi cha Paulo Bento.
Kikosi kamili:
Walinda mlango: Beto (Sevilla), Eduardo (Braga), Rui Patricio (Sporting).
Walinzi: Andre Almeida (Benfica), Bruno Alves (Fenerbahce), Fabio Coentreo (Real Madrid), Joao Pereira (Valencia), Neto (Zenit), Pepe (Real Madrid), Ricardo Costa (Valencia).
Viungo: Joao Moutinho (Monaco), Miguel Veloso (Dinamo Kiev), Raul Meireles (Fenerbahce), Ruben Amorim (Benfica), William Carvalho (Sporting).
Washambuliaji: Cristiano Ronaldo (Real Madrid), Eder (SC Braga), Helder Postiga (Lazio), Hugo Almeida (Besiktas), Nani (Manchester United), Rafa (Braga), Varela (FC Porto), Vieirinha (Wolfsburg).
Ghana
Mlinzi wa Leicester Jeffrey Schlupp ni miongoni mwa wachezaji watatu waliotemwa kwenye kikosi cha Ghana kutoka wachezaji 26 wa maangalizi hadi 23 watakaoiwakilisha nchi hiyo nchi Brazil. Mshambuliaji wa Helsingborgs David Accam na Jerry Akaminko anayekipiga nchini Uturuki, ambaye alivunjika mfupa katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa dhidi ya Uholanzi, wanakosekana lakini kiungo wa zamani wa Chelsea Michael Essien ametajwa kikosini.
Kikosi kamili:
Walinda mlango: Fatau Dauda (Orlando Pirates), Adam Kwarasey (Stromsgodset), Stephen Adams (Aduana Stars).
Walinzi: Samuel Inkoom (Platanias), Daniel Opare (Standard Liege), Harrison Afful (Esperance), John Boye (Rennes), Jonathan Mensah (Evian), Rashid Sumalia (Mamelodi Sundowns).
Viungo: Michael Essien (AC Milan), Sulley Muntari (AC Milan), Rabiu Mohammed (Kuban Krasnodar), Kwadwo Asamoah (Juventus), Emmanuel Agyemang-Badu (Udinese), Afriyie Acquah (Parma), Christian Atsu (Vitesse), Albert Adomah (Middlesbrough), Andre Ayew (Marseille), Mubarak Wakaso (Rubin Kazan).
Washambuliaji: Asamoah Gyan (Al Ain), Kevin-Prince Boateng (Schalke 04), Abdul Majeed Waris (Valenciennes), Jordan Ayew (Sochaux).
Marekani
Kocha wa Marekani Jurgen Klinsmann aliwataja wachezaji wanne wa Premier League, wakiwepo walinda mlango wawili katika kikosi chake cha wachezaji 23. Brad Guzan na Tim Howard wamejumuishwa, pamoja na mlinzi Geoff Cameron na mshambuliaji Jozy Altidore. Landon Donovan alitajwa kwenye kikosi cha maangalizi cha wachezaji 30, lakini ameondolewa kwenye kikosi cha wachezaji 23 licha kufunga magoli 57 katika michezo 155 ya nchi yake.
Kikosi kamili:
Walinda mlango: Brad Guzan (Aston Villa), Tim Howard (Everton), Nick Rimando (Real Salt Lake).
Walinzi: DaMarcus Beasley (Puebla), Matt Besler (Sporting Kansas City), John Brooks (Hertha Berlin), Geoff Cameron (Stoke City), Timmy Chandler (Nuremberg), Omar Gonzalez (LA Galaxy), Fabian Johnson (Hoffenheim), DeAndre Yedlin (Seattle Sounders).
Viungo: Kyle Beckerman (Real Salt Lake), Alejandro Bedoya (Nantes), Michael Bradley (Toronto FC), Brad Davis (Houston Dynamo), Mix Diskerud (Rosenborg), Julian Green (Bayern Munich), Jermaine Jones (Besiktas), Graham Zusi (Sporting Kansas City).
Washambuliaji: Jozy Altidore (Sunderland), Clint Dempsey (Seattle Sounders), Aron Johannsson (AZ Alkmaar), Chris Wondolowski (San Jose Earthquakes).
Kundi H
Ubelgiji


Ubelgiji amewaita wachezaji 12 wanaokipiga Premier League katika kikosi chake ikimjumuisha kwa mara ya kwanza winga wa Manchester United Adnan Januzaj. Chelsea imewatoa Eden Hazard, Romelu Lukaku na Thibaut Courtois, wakati Arsenal ina Thomas Vermaelen na Tottenham ina Jan Vertonghen, Mousa Dembele na Nacer Chadli. Hawa wote wanakwenda Brazil. Sammy Bossut aliitwa baada ya mchezaji wa Anderlecht Silvio Proto kuvunjika mkono katika wiki ya mwisho ya msimu wa ligi ya Ubelgiji.
Kikosi kamili:
Walinda mlango: Thibaut Courtois (Atletico Madrid, kwa mkopo akitokea Chelsea), Simon Mignolet (Liverpool), Koen Casteels (Hoffenheim), Sammy Bossut (Zulte Waregem).
Walinzi: Toby Alderweireld (Atletico Madrid), Laurent Ciman (Standard Liege), Nicolas Lombaerts (Zenit St Petersburg), Vincent Kompany (Manchester City), Daniel van Buyten (Bayern Munich), Anthony Vanden Borre (Anderlecht), Thomas Vermaelen (Arsenal), Jan Vertonghen (Tottenham).
Viungo: Nacer Chadli, Mousa Dembele (both Tottenham), Steven Defour (Porto), Kevin de Bruyne (Wolfsburg), Marouane Fellaini, Adnan Januzaj (wote Manchester United), Eden Hazard (Chelsea), Kevin Mirallas (Everton), Divock Origi (Lille), Axel Witsel (Zenit St Petersburg).
Washambuliaji: Romelu Lukaku (Everton, kwa mkopo akitokea Chelsea), Dries Mertens (Napoli).
Algeria
Mchezaji kinfa wa Tottenham Nabil Bentaleb yumo kwenye kikosi cha wachezaji 23 wa Algeria kwa ajili ya Kombe la Dunia. Kiungo wa Inter Milan Saphir Taider pia ameteuliwa lakini mchezaji wa Crystal Palace Adlene Guedioura aliondolewa kwenye kikosi cha maangalizi.
Kikosi kamili:
Walinda mlango: Rais Mbolhi (CSKA Sofia), Cedric Si Mohamed (CS Constantine), Mohamed Lamine Zemmamouche (USM Alger).
Walinzi: Essaid Belkalem (Watford, on loan from Granada), Madjid Bougherra (Lekhwya Club), Liassine Cadamuro (Mallorca), Faouzi Ghoualm (Napoli), Rafik Halliche (Academica Coimbra), Aissa Mandi (Stade Reims), Carl Medjani (Valenciennes), Djamel Mesbah (Livorno), Mehdi Mostefa (AC Ajaccio).
Viungo: Nabil Bentaleb (Tottenham), Yasine Brahimi (Granada), Medhi Lacen (Getafe), Saphir Taider (Inter Milan), Hassan Yebda (Udinese).
Washambuliaji: Abdelmoumene Djabou (Club Africain), Sofiane Feghouli (Valencia), Nabil Ghilas (Porto), Riyad Mahrez (Leicester City), Islam Slimani (Sporting Lisbon, Portugal), Hilal Soudani (Dinamo Zagreb).
Urusi
Boss wa Urusi Fabio Capello ametaja wachezaji wanaocheza ligi ya ndani katika kikosi chake cha wachezaji 23. Mshambuliaji wa Reading Pavel Pogrebnyak aliondolewa kwenye kikosi cha maangalizi cha wachezeji 30 ambacho wachezaji wa zamani wa Premier League Andrey Arshavin, Roman Pavlyuchenko na Diniyar Bilyaletdinov hakujumuishwa.
Kikosi kamili:
Walinda mlango: Igor Akinfeev (CSKA Moscow), Yury Lodygin (Zenit St Petersburg), Sergey Ryzhikov (Rubin Kazan).
Walinzi: Vasili Berezutskiy (CSKA Moscow), Vladimir Granat (Dynamo Moscow), Andrey Eshchenko (Anzhi Makhachkala), Sergey Ignashevich (CSKA Moscow), Alexey Kozlov (Dynamo Moscow), Dmitry Kombarov (Spartak Moscow), Andrey Semenov (Terek Grozny), Georgi Schennikov (CSKA Moscow).
Viungo: Denis Glushakov (Spartak Moscow), Igor Denisov (Dynamo Moscow), Alan Dzagoev (CSKA Moscow), Yury Zhirkov (Dynamo Moscow), Alexey Ionov (Dynamo Moscow), Alexander Samedov (Lokomotiv Moscow), Victor Faizulin (Zenit St Petersburg), Oleg Shatov (Zenit St Petersburg), Roman Shirokov (Krasnodar).
Washambuliaji: Maxim Kanunnikov (Amkar Perm), Alexander Kerzhakov (Zenit St Petersburg), Alexander Kokorin (Dynamo Moscow).
Korea Kusini
Korea Kusini imekitaja kikosi chake cha wachezaji 23 ikiwajumuisha wachezaji watano wanaokipiga kwenye soka la English. Wachezaji wa Cardiff City Kim Bo-kyong, Ki Sung-yeung, aliyepelekwa kwa mkopo Sunderland akitokea Swansea, na mshambuliaji wa Arsenal Park Chu-young wameitwa. Mchazaji wa Bolton Lee Chung-yong na mchezaji wa QPR Yun Suk-young pia wanakwenda Brazil.
Beki wa kushoto chaguo la kwanza Kim Jin-soo alilazimishwa kutemwa kikosini kwa sababu ya majeruhi ya enka na nafasi yake ikatwaliwa na mlinzi anayekipiga Ujerumani Park Joo-ho.
Kikosi kamili:
Walinda mlango: Jung Sung-ryeong (Suwon Bluewings), Kim Seung-gyu (Ulsan Horang-i), Lee Bum-young (Busan I'Park)
Walinzi: Yun Suk-young (QPR), Kim Young-kwon (Guangzhou Evergrande), Hwang Seok-ho (Sanfrecce Hiroshima), Hong Jeong-ho (Augsburg), Kwak Tae-hwi (Al Hilal), Lee Yong (Ulsan Horang-i), Kim Chang-soo (Kashiwa Reysol), Park Joo-ho (Mainz)
Viungo: Ki Seung-yueng (Sunderland, kwa mkopo akitokea Swansea), Ha Dae-sung (Beijing Guoan), Han Kook-young (Kashiwa Reysol), Park Jung-woo (Guangzhou R&F), Son Heung-min (Bayer Leverkusen), Kim Bo-kyung (Cardiff City), Lee Chung-yong (Bolton Wanderers), Ji Dong-won (Augsburg).
Washambuliaji: Koo Ja-cheol (Mainz), Lee Keun-ho (Sangju Sangmu), Park Chu-young (Arsenal), Kim Shin-wook (Ulsan Horang-i).

Post a Comment

emo-but-icon

item