Flatnews

BREAKING NEWZ:AUWA NA KUCHOMWA MOTO MBAGALA KWA TUHUMA ZA WIZI


Kijana Mmoja ambaye jina lake halikufahamika mara moja Amewawa kwa Tuhuma za Wizi Huko mbagala mtaa wa kwa Mwarabu.Wananchi wam,eendelea Kujichukulia sheria Mkononi . 

Wananchi wa eneo la mbagala kwa mwarabu wamefanikiwa kumuuua mwizi kwa kumchoma moto 



                                             wananchi wakiangalia maiti ya mwizi

Post a Comment

emo-but-icon

item