Flatnews

WEUSI wahahidi show kali IJUMAA hii 14.11.14 pale MBEYA


IMG_4200

Wasanii wanaounda kundi la Hip Hop nchini (WEUSI) Baada ya kumalizana na upande wa kaskazini nikimaanisha ARUSHA na MOSHI sasa wako tayari kabisa kwa show kali ya Funga Mwaka na Weusi pale MBEYA katika ukumbi wa CITY PUB kwa kiingilio cha elfu 10 tu. Safari hii watakuwa wenyewe Weusi kama Weusi tofauti na hizi show mbili walizozifanya wakiwa na wasanii wenzao wa Bongo Fleva.

Post a Comment

emo-but-icon

item