Flatnews

Uganda yazindua gari lisilotumia petroli




13 Novemba 2014 Imebadilishwa mwisho saa 16:17 GMT
Uganda imezindua gari maalum la kipekee katika kanda ya Afrika mashariki maarufu kama hybrid electric car.
Uzinduzi wa gari hilo ulifanyika katika mji mkuu wa Kenya Nairobi.
Lakini je, hybrid electric car ni gari la aina gani? Hili ndilo swali mwandishi wetu, Wanyama wa Chebusiri amemuuliza mmoja wa wahandisi waliotengeneza hilo gari, Bwana Mario Obua..

Post a Comment

emo-but-icon

item