SNOOP DOGG ASAINI NA ‘I AM OTHER’ LABEL
Pharrell Williams na Snoop Dogg wakitumbuiza
http://samchardtz.blogspot.com/2014/10/snoop-dogg-asaini-na-i-am-other-label.html
Nyota wa muziki nchini Marekani Snoop Dogg amesaini mkataba na label
ya Pharrell Williams inayoitwa ‘I am OTHER’ hivyo album ijayo ya rapa
Snoop Dogg itatoka chini ya lebal hiyo wakishirikiana na Columbia
Records.
Pharrell anatarajia kuandaa album nzima ya Snoop ambayo itakuwa na wasanii kadhaa watakaoshirikishwa kama Stevie Wonder na Charlie Wilson.
Katika hatua nyingine Pharrell amesema kuwa album hiyo itakuwa kali kuliko hata ile ya kwake. Wakali hao wamewahi kufanya kazi pamoja kabla na kazi zao kufanya vizuriikiwemo ‘Beautiful’ ya mwaka 2003 na ‘Drop it like It’s Hot’ ya 2014.
Pharrell anatarajia kuandaa album nzima ya Snoop ambayo itakuwa na wasanii kadhaa watakaoshirikishwa kama Stevie Wonder na Charlie Wilson.
Katika hatua nyingine Pharrell amesema kuwa album hiyo itakuwa kali kuliko hata ile ya kwake. Wakali hao wamewahi kufanya kazi pamoja kabla na kazi zao kufanya vizuriikiwemo ‘Beautiful’ ya mwaka 2003 na ‘Drop it like It’s Hot’ ya 2014.
