NICK CANNON AWEKA REKODI MPYA
Mtangazaji wa TV- Nick Cannon Mtangazaji wa TV na muigizaji wa filamu nchini Marek...
http://samchardtz.blogspot.com/2014/10/nick-cannon-aweka-rekodi-mpya.html
Mtangazaji wa TV na muigizaji wa filamu nchini Marekani, Nick Cannon
amevunja rekodi yakuchukua selfies (kujipiga picha mwenyewe) zaidi ndani
ya saa moja.
Cannon ambaye ni mtaalamu wa kupiga selfies ameweka rekodi kwa kupiga selfies 283 mfululizo na kuvunja rekodi iliyokuwepo ya selfies 279 kwa saa moja.
Katika hatua nyingine Cannon ambaye ni meneja wa Amber Rose ameachana na mke wake Mariah Carey hivi karibuni.
Cannon ambaye ni mtaalamu wa kupiga selfies ameweka rekodi kwa kupiga selfies 283 mfululizo na kuvunja rekodi iliyokuwepo ya selfies 279 kwa saa moja.
Katika hatua nyingine Cannon ambaye ni meneja wa Amber Rose ameachana na mke wake Mariah Carey hivi karibuni.
