Flatnews

APPLE WAZINDUA IPAD MPYA


_78295159_screenshot2014-10-1618.42.40
Tim Cook akionyesha moja ya Ipad kwenye uzinduzi huko Califonia
Kampuni ya Apple ya nchini Marekani imezindua Ipad mpya ambayo ni nyembamba zaidi kwenye soko kwa sasa na hivyo kuzidi kuteka soko la Teknolojia.Mkurugenzi mkuu wa Apple  Tim Cook akionyesha watazamaji kwenye uzinduzi huo kwenye makao makuu huko Califonia,aina hizo ni iPad Air 2  na iPad Mini 3 ambazo zinatumia teknolojia kwenye upande wa ulinzi ya “Fingerprint”
1413481964937_Image_galleryImage_CUPERTINO_CA_OCTOBER_16_A
Ipad Air 2 ikionekana kwenye TV kubwa

Post a Comment

emo-but-icon

item