NDOA YA AMBER ROSE NA WIZ KHALIFA YAFIKIA KIKOMO, BAADA YA KUISHI KWA MWAKA MMOJA
http://samchardtz.blogspot.com/2014/09/ndoa-ya-amber-rose-na-wiz-khalifa.html
Tmz wameripoti kuwa model Amber Rose ameomba talaka kutoka kwa mume wake ambaye wameishi pamoja kwa muda wa mwaka moja. Amber anasema yeye na mumewe wametengana kuanzia Jumatatu na anataka haki zote za malezi za mtoto wao Sebastian mwenye umri wa mwaka mmoja.

Tofauti na ndoa za
wasanii wengine zikivunjika hugawana pesa na mali, Amber alisainishwa
makubaliano ya kutochukua mgao wa pesa au mali kutoka kwa mumewake
endapo watatengana.
