Flatnews

HOT NEWS: POLISI WAWILI WAJERUHIWA KATIKA MLIPUKO WA KITU KINACHOSEMEKANA NI BOMU





Askari polisi waliokuwa katika doria maeneo ya mtaa wa Mabatini Songea Mjini wamenusurika kufa baada ya kurushiwa kitu kinachosemekana ni bomu la kutengenezwa kwa mkono majira ya saa 2 usiku wa jana mmoja akiwa ni wa kiume na mwingine akiwa ni wakike. Tarifa kamili tutawaletea endelea kufatilia

Post a Comment

emo-but-icon

item