Flatnews

Ebola yatikisa mfumo wa afya Liberia


Watalaam wa afya katika tahadhari ya ugonjwa wa Ebola
Waziri wa Habari wa Liberia Lewis Brown ameiambia BBC kwamba mfumo wa afya wa nchi hiyo umeyumbishwa na athari zilizotokana na mlipuko huo wa ugonjwa wa Ebola.
Kikosi cha jeshi nchini humo kimetawanywa kuweza kuwazuia watu wasisafiri kuingia katika mji mkuu wa nchi hiyo, kutoka katika maeneo ya vijiji yaliyokumbwa na ugonjwa huo.
Wakati huohuo katika nchi jirani ya Sierra Leone, ambayo maeneo yote yamewekwa vizuizi kujaribu kuzuia kusambaa kwa ugonjwa huo. Waziri wa Habari wa nchi hiyo Alpha Kanu amesema inakatisha tamaa kuona kwamba dawa ambazo bado ziko katika majaribio, hazijasambwazwa nchini himo.

Post a Comment

emo-but-icon

item