Flatnews

RIDHIWANI KIKWETE, I.G.P MSTAAFU MAHITA,WAONGOZA MAMIA WA WANANACHI WA MORO KUMZIKA MWENYEKITI WA YANGA


 Umati wa watu uliofulika nyumbani kwa
mama mzazi wa mwenyekiti wa Tawi la Yanga marehemu Hamis Katoto
                Baadhi ya Umati huo
 Jeneza lililobeba mwili wa marehemu Katoto

                      Waombolezaji
 Watu wakikimbilia magari kuelekea makaburini
 Kwa sheria za dini ya kiislama wanawake hawafiki makaburini hivyo baadhi ya kina mama hao walijazana kwenye tulubai wakiwafariji wafiwa
 Katibu wa tawi la yanga mkoa wa Morogoro Hamisi mkingie mwenye bagharashia akiwa na hudhuni kubwa ya kuondokewa na mwenyekiti wake tawi hilo
                       Kina mama wakipokea duwa
 Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Morogoro ambaye pia ni Mbunge wa jimbo la Morogoro Kusini lnnocent Karogerezi akitoa salam za Chama ambapo marehmu pia alikuwa kada wa chama hicho
 Salma za mbunge huyo ziliishia njiani baada ya kushindwa kujizuia na kuangua kilio,lkumbuke jimbo la morogoro kusini analoongoza mbunge huyo iliki wilaya ya Morogoro Vijijini ambapo marehemu Katoto alikuwa lnjini wa barabara ya halmashuri ya Morogoro Vijijini,chini ya Ungozi wa Karogerezi jimbo la Morogoro kusini kwa sasa mbali ya kuwa na umeme lina barabara nzuri zilizosimamaiwa na Mbunge huyo na marehemu
 Kalogerezi akiendele kuangua kilio, huku kaka yake Wencelaus Karogerezi[kushoto] ambaye ni Diwani wa kata ya Mji Mpya naye akimsapoti mdogo wake kwa kuangua kilio vigogo hao wa CCM na marehemu wote ni wamezaliwa na kukulia kata hiyo ya Mji Mpya

 Mkuu wa Wilaya ya Kusini Unguja ambaye alifika kwenye maziko hayo na ujumbe wa watu wanne akitoa salamu kutoka kwenye wilaya yake
 Katibu wa tawi la Yanga Safi Morogoro Hamiss Mkingie ambalo marehemu katoto alikuwa mwenyekiti akitoa salama za tawi hilo
 Kigogo wa CCM kata ya Mji Mpya Jitihada Kitogo'Kitonsa'anaye alishindwa kutoa salama za CCM kata na kuangua kilio kwa uchungu ambaposehemu ya maneneo yake alisema" CCM Mji Mpya kulikuwa kwenye maandalizi ya kumuanda lnjini Katoto kuwa mbunge wa moja ya majimbo ya mkoa wa Morogoro lakini bahati mbaya mungu amemchukua"alisema Kitonsa na kuangu kilio
                Kitonsa akizidi kulia
 Mama mzazi wa marehemu akiangua kilia kwa uchungu,wa kuondokewa na mwanae ambaye alikuwa nguzo muhimu kwenye familia hiyo.
 Mbunge wa jimbo la Chalinze Ridhiniwa Kikwete[kulia] ambaye pia ni mtoto wa rais wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete 
 Aliyekuwa mkuu wa jeshi la Polisi Tanzania ambaye kwa sasa amestaafu I.G.P Alhaji Omar ldd Mahita naye alikuwepo kwenye msiba huo
 Hamis Rajabu Kibangula[kushoto]
 Beki mahiri wa yanga Juma Abdul[kati] anaye alikuwepo kwenye mazishi ya mwenyekiti wa timu yake
 Kaimu Sheikh mkuu wa mkoa wa Morogoro Sheikh Ally Omar naye alikuwepo kwenye msiba huo
 Tawi la yanga safi ambaye lilianzsihwa na marehemu mbali ya kutoa rambirambi ya shilingi lakini mbili pia kwenye kikao chaom cha juzi walikubalia pia kukodi basi ambalo lilibeba wanachma wote wa tawili hilo,huku basi hilo likipambw ana bendera za timu yao
 MTANI JEMBE,Mwanachma wa Simba Frank Mwarabu'maarufu kwa jina la Samora ambaye kwenye msiba huo alikuwa mtani alipanda kwenye basi hilo huku akiwa na jezi yenye rangi nyekundu na nyeupe ambazo ni rangi 'Boko Haramu'kwa yanga baadhi ya wananga wakimzuia Samora kupanda basi hilo mwanachma huyo wa simba alikomaa na kufanikiwa kupanda kwenye basi hilo
 Baada ya kureha kutoka makaburini walipiga picha ya pamoja na mwanachma huyo wa simba
Mahita akitoka msibani na kukatiza mitaa ya Mji Mpya huku akiwa na Sheik Koba ambaye ni Sheikh kiongozi wa Msikiti wa Mahita ulipo pande za Mafika mkoani hapa.
Na Dustan Shekidele,Morogoro.
MTOTO wa Rais wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete, Ridhiwani Kikwete ambaye pia ni Mbunge wa jimbo la Chalinze na mkuu wa jeshi la polisi mstaafu I.G.P Omar ldd Mahita jama jioni waliongoza umati wa wananahci kutoka pande mbali mbali za nchini ya Tanzania kumsika mwenyekiti wa Tawi la Yanga Safi Morogoro marehemu lnjnia Hamis Selema Katoto aliyekufa juzi kwa ajari ya gari eneo la Kihonda maghorofani majira ya saa 6 usiku.

lnjini Katoto ambaye ni miongoni mwa waandisi walioapishwa juzi kati Dodoma na waziri wa Ujezi John  Pombe Magufuri amekwa jana katika makaburi ya Makambalani nje kidogo ya Mji wa Morogoro.
marehemu ameacha mke na watoto watatu 

Post a Comment

emo-but-icon

item