KATIBU MKUU WA CCM ABDULRAHMAN KINANA AMALIZA ZIARA YAKE MANYONI SINGIDA
http://samchardtz.blogspot.com/2014/05/katibu-mkuu-wa-ccm-abdulrahman-kinana.html
Katibu
Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizindua nyumba ya kisasa ya
mfugaji Bw, Mihangwa Jinasa mkazi wa kata ya Heka wilayani Manyoni
mkoani Singida ikiwa ni mradi wa wafugaji kuuza mifugo ili kupunguza
idadi lakini pia kujiletea maendeleo kwa kujenga nyumba za kisasa na
kuondokana na nyumba za matembe unaoendelea kwa wafugaji mkoani humo,
Bw.Mihangwa pia amefanywa kuwa mhamasishaji mkubwa, mhamasishaji na
mwalimu kwa wafugaji wenzake katika kubadilisha maisha yao kama
wafugaji, Katika ziara hiyo Katibu mkuu Abdulrahman Kinana ameongoza na
Nape Nnauye Katibu wa NEC Itikadi, Siasa na Uenezi wakikagua miradi ya
maendeleo inayotekelezwa na Serikali na kuimarisha uhai wa Chama cha
Mapinduzi ikiwa ni pamoja na kusimamia ilani ya Chama hicho ya mwaka
2010, anayezindua naye kwa pamoja ni mfugaji Mihangwa Jinasa(PICHA NA
KIKOSI KAZI CHA FULLSHANGWE-MANYONI-SINGIDA)
Hii ndiyo nyumba ya kisasa ya mfugaji Mihangwa Jinasa.
Katibu
Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwa ameongozana na mfugaji
Mihangwa Jinasa wakipia zizini kuangalia ng’ombe waliobaki mara baada ya
kuuza baadhi ya mifugo na kufanya miradi ya maendeleo katika familia
yake.
Katibu
Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana wa pili kitoka kulia akipiga
picha ya pamoja na Bw. Mihangwa Jinasa mfugaji aliyeamua kujikwamua na
kujenga nyumba ya kisasa, kulia ni Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Singida
Ndugu Mgana Msindai na kutoka kushoto ni Kapteni John Chiligati Mbunge
wa jimbo la Manyoni Magharibi na Mkuu wa mkoa wa Singida Dk. Parseko
Kone
Katibu
Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na wananchi katika
kata ya Heka leo mara baada ya kumtembelea mkulima huyo.
Katibu
Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana kushoto na mbunge wa jimbo la
Manyoni Magharibi Kapten John Chiligati wakimpatia fundi matofali
wakati aliposhiriki ujenzi wa Maabara katika shule ya sekondari Heka.
Katibu
Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana na Nape Nnauye Katibu wa NEC
Itikadi, Siasa na Uenezi wakishiriki ujenzi wa maabara katika shule ya
sekondari Heka.
Kikundi cha ngoma kikitumbuiza katika mkutano wa hadhara mjini Manyoni.
Katibu
Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akikabidhi pampu ya umwagiliaji
kwa kinundi cha vijana wa kata ya Heka wilayani manyoni.
Katibu
Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akikabidhi pampu ya maji kwa
ajili ya kilimo cha umwagiliani kwa vijana wa kikundi cha Ujana wa Kweli
kata ya Heka.
Wanachama wapya CCM wakila kiapo baada ya kukabidhi wa kadi zao
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdularahman Kinana akipokea zawadi ya virungu kutoka kwa mzee Nehemia Mchapala
Katibu
Mkuu wa CCM Ndugu Abdularahman Kinana akimsikiliza Mbunge wa jimbo la
Manyoni Magharibi Kapten John Chiligati alipokuwa akimuelezea mfugaji
Mihangwa Jinasa wa shina namba tisa Miembeni wakati Katibu Mkuu huyo
alipomtembelea mjumbe w akiwa katika ziara ya kukagua miradi inayowa
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdularahman Kinana akishiriki ujenzi wa maabara katika shule ya sekondari ya Manyoni.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdularahman Kinana akishiriki ujenzi wa msingi katika shule yasekondari ya Manyoni
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdularahman Kinana aki
Katibu
Mkuu wa CCM Ndugu Abdularahman Kinana akifanyanya mazoezi na wanafunzi
wa shule mbalimbali wakipiga kambi kwa ajjli ya mashindano ya UMISETA
kwenye uwanja wa Jumbe mjini Manyoni.
Nape Nauye akiwahutubia wananchi katika katika kituo cha mabasi Manyoni Mjini
Wananchi waliohudhuria katika mkutano huo
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdularahman Kinana akiwahutubia wananchi katika mkutano huo.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdularahman Kinana akizungumza mara baada ya kusimikwa kuwa chifu watu wa Singida.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdularahman Kinana akikabidhi vifaa vya michezo kwa diwani Khamis Masabuni w a kata ya Manyoni mjini, vifaa hivyo vimetolewa na mbunge wa jimbo la Manyoni magharibi Mh. Kapten John Chiligati.