Flatnews

WAJASIRIAMALI WALEMAVU WAFUNGA BARABARA DAR


2 (17)

3 (10)
6 (4)

9 (1)
10 (2)
1 (17)
KUNDI la walemavu, wajasiriamali na wafanyabiashara ndogo ndogo jana walifunga makutano ya barabara ya Kawawa na Uhuru (Karume) kwa muda wa saa tatu wakishinikiza Serikali iwapatie maeneo ya kufanyia biashara baada ya kuwaondoa katika eneo la Mtaa wa Kongo Kariakoo jijini Dar es Salaam.

Post a Comment

emo-but-icon

item