Flatnews

Cheki post ya Anti ezekiel inayohusu ugonjwa wa Dengue.


anti1

Kasi ya maambukizi ya ugonjwa wa Dengue ambao unaonekana kuja kwa kasi ndani ya Tanzania imesababisha baadhi ya mastar wamekua wakibadilisha hata aina ya mavazi kutokana na ugonjwa huu ambao inasemekana mavazi kama kaptura au sketi fupi hayafai kwa nyakati za jioni.
ezekielKutoka kiwanda cha filamu Bongo Mastaa wa filamu Tanzania Wema Sepetu na Anty Ezekiel wamepost picha leo kwenye akaunti ya Anty Ezekiel wakionekana wakiwa na dawa aina ya panadol kama kinga ya ugonjwa huo.
Chini ya picha hii aliyopost Anty Ezekiel aliandika maneno haya>>’ Dengue hili haya twende kazi Panadol time’

Post a Comment

emo-but-icon

item