Flatnews

MESSI AUDHIHIRISHIA ULIMWENGU MWABA YEYE NI SUMU, BARCA YAISHUSHIA BALAA ROMA YA MAGOLI 6 - 1

Messi akicheza mchezo wake wa pili tangu aliporejea kutoka kwenye majeruhi ya muda mrefu ameisaidia timu ke kuibuka na ushindi wa magili ...


Messi akicheza mchezo wake wa pili tangu aliporejea kutoka kwenye majeruhi ya muda mrefu ameisaidia timu ke kuibuka na ushindi wa magili 6-1 dhidi ya AS Roma kwenye mchezo wa kundi E
wa michuano ya UEFA Champions ligi uliochezwa usiku wa Jumanne November 24 kwenye uwanja wa nyumbani wa Barcelona Nou Camp.
Akiwa katika kiwango cha hali ya juu Messi alifanikiwa kutupia kambani goli mbili kwenye ushindi wa sita huku akisaidia kupatikana kwa magoli mengine. Messi alicheza kwa dakika zote 90 za mchezo dhidi ya Roma.
                                  Barca 1
Ghalika ya magoli ilianza kuishukia Roma mapema kipindi cha kwanza baada ya Luis Suarez kufunga goli la kuongoza dakika ya 15 ya kipindi cha kwanza, dakika tatu baada Lionel Messi akaifungia Barcelona goli la pili kabla ya Suarez hajaongea bao la tatu dakika ya 44 na kuifanya Barcelona kwenda mapumziko ikiwa kifua mbele kwa mabao 3-0.
Mvua ya magoli ilizidi kuiandama Roma kipindi cha pili baada ya beki wa Barcelona Gerrard Pique kupachika bao la nne dakika ya 56 huku Messi akirejea tena nyavuni dakika ya 60 na Adriano akahitimisha ushindi kwa kufunga goli la sita dakika ya 77.
                                Barca 2
Nyota wa Brazil na Barcelona Neymar yeye aliosa penati 77 na kushindwa kufunga goli na kuwa mchezaji pekee ambaye hakufunga goli kwenye umoja wa washambuliaji wa Barca (mapacha watatu).
Mshambuliaji wa AS Roma Edin Dzeko aliifungia timu yake bao pekee kwenye kipigo hicho ilichokipata timu yake huku akipoteza mkwaju wa penati ilioupata timu yake dakika ya 82.

Related

TIMU WASHIRIKI WA KAGAME KUANZA KUTUA DAR

  Timu ya Al Shandy kutoka nchini Sudan, Al Malakia kutoka Sudan Kusini na KMKM kutoka Visiwani Zanzibar zinatarajiwa kuwasili kesho jijini Dar es salaam tayari kwa ushiriki wao kwenye mic...

ARSENAL YAPATA PIGO JUU YA NYOTA HUYU WA URENO….

  Dili la Arsenal kumsajili nyota kutoka klabu ya Spoting Lisbon ya Ureno William Carvalho limeota mbawa baada ya kiungo huyo kuumia na atakuwa nje ya uwanja kwa muda wa wiki 10 hadi 12 sawa m...

KUMBE MANCINI ALIKUWA AKIMUONEA WIVU MOURINHO!!

Roberto Mancini amekiri kwamba alikuwa akimuonea wivu Jose Mourinho kushinda makombe matatu wakati alipokuwa akiifundisha Inter na kuongeza kuwa amefanya maamuzi ya kipuuzi kurudi kuifundisha kl...

Post a Comment

emo-but-icon
:noprob:
:smile:
:shy:
:trope:
:sneered:
:happy:
:escort:
:rapt:
:love:
:heart:
:angry:
:hate:
:sad:
:sigh:
:disappointed:
:cry:
:fear:
:surprise:
:unbelieve:
:shit:
:like:
:dislike:
:clap:
:cuff:
:fist:
:ok:
:file:
:link:
:place:
:contact:

Hot in weekRecentComments

Recent

Kesi ya Godbless Lema na mkewe kumtukana Mkuu wa Mkoa wa Arusha yakwama kusikilizwa..

Kesi ya kumtukana Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo, inayomkabili Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini, Godbless lema na mke wake Neema Lema (33), imeshindwa kusikilizwa maelezo ya awali. Hatu...

PICHA 18: Style za nywele za baadhi ya mastaa wa muziki Nigeria

              Mastaa wa muziki ni watu ambao wanapenda kwenda na fashion kuanzia mavazi mpaka style za unyoaji. Kwa upande wa mastaa wa Nigeria tumez...

Donald Trump Akataa Kulipwa Mshahara wa Urais

Rais mteule wa Marekani, bilionea Donald Trump amesema hatakubali kupokea mshahara wa urais pindi atakapokuwa madarakani. Trump ameweka msimamo huo jana katika mahojiano maalum na mtangazaji maa...

Jealousy!!! Justine Skye can't stand seeing Wizkid with other girls

As much as we know, Wizkid and Justice Skye are together. Maybe not a great deal. But, at least, there's something going on with the two. To further prove the possibility of the two being deeply in...

Comments

Anonymous:

Hahahaha Safi sana nidhamu ikae Pahala pake

item