Breaking News: Rais Magufuli Afuta Sherehe za Uhuru Disemba 9
Katibu mkuu kiongozi Ombeni Sefue amesema rais.John Pombe Magufuli amefuta maadhimisho ya siku ya Uhuru December 9 na kuagiza f...
https://samchardtz.blogspot.com/2015/11/breaking-news-rais-magufuli-afuta.html
Katibu
mkuu kiongozi Ombeni Sefue amesema rais.John Pombe Magufuli amefuta
maadhimisho ya siku ya Uhuru December 9 na kuagiza fedha zilizopangwa
kwa shughuli hiyo zitengwe kwaajili ya kufanyia shughuli nyingine na pia
akaagiza siku hiyo kutumika kwaajili kufanya usafi nchi nzima kwaajili
ya kukabiliana na ugonjwa wa Kipindupindu.