Flatnews

Di Maria yupo Qatar anafanya vipimo vya afya kujiunga na PSG…..

Leo hii Angel di Maria amewasili Qatar kwa ajili ya kufanya vipimo vya afya kujiunga na Paris Saint-Germain.


Leo hii Angel di Maria amewasili Qatar kwa ajili ya kufanya vipimo vya afya kujiunga na Paris Saint-Germain.

• Manchester United imekubaliana na PSG ada ya uhamisho ya paundi milioni 44.
• Di maria amesafiri kwa ndege kutoka nchini Argentina akipitia kwenye jiji la Sao Paulo.
• Wamiliki wa PSG wanaishi nchini Qatar na taarifa kutoka kwenye familia hiyo zinasema wamekubaliana mkataba wa miaka minne ambapo atakuwa analipwa mshahara wa paundi 170,000 kwa wiki.

Related

SPORTS 2231155289372122990

Post a Comment

emo-but-icon

item