HOTUBA YA NGELEJA KATIKA KUTANGAZA NIA YA URAIS WA TANZANIA YAJIBU MASWALI MENGI YA WANANCHI
Mbio Za Uraisi Mbunge wa Jimbo la Sengerema na aliyewahi kuwa Waziri wa Nishati na Madini William Ngeleja amekanusha taarifa ...
https://samchardtz.blogspot.com/2015/06/hotuba-ya-ngeleja-katika-kutangaza-nia.html
amesema
wananchi wengi wamekuwa wakidhani kuwa aliondolewa katika wadhifa huo
kwa kutumia madaraka vibaya jambo ambalo si sahihi.
Ameongeza
utaratibu uliofanyika kumuondoa ni utaratibu wa kawaida na kuwa unaweza
kutumika hata bila ya kuwa na udhaifu katika uongozi.
Ameongeza kumekuwa na baadhi ya baadhi ya watu wanaoeneza habari hizo kwa leo la kumchafua.