Flatnews

KIBA AWASIHI MASHABIKI WAKE.

Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Abdi Kiba, amesema mashabiki wake wakae tayari kupokea kibao chake kip...


AliKiba
Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Abdi Kiba, amesema mashabiki wake wakae tayari kupokea kibao chake kipya kwani kitakuwa ni tishio.

Alisema juzi, kuwa alikuwa kimya tangu mwaka jana, sasa amevunja ukimya kwa kazi ambayo ataileta kwenu.
Kiba alisema anajua kwa sasa kuna ushindani mwingi, hivyo anapaswa kuchukua muda kuandaa kazi nzuri na si kukurupuka na kuitoa kitu kibaya.
“Kazi nzuri haihitaji haraka, inatakiwa kuchukua muda ili kuweza kuiandaa na kuiachia kwa watanzania wakiwa wanaielewa na si kufanya haraka ili kuingia kwenye ushindani,”alisema
Kiba alisema amekaa kwa muda mrefu kuandaa kazi hiyo, anaamini kwamba mashabiki wataikubali.

Related

ENTERTAINMENT 998010695452309295

Post a Comment

emo-but-icon

item