Flatnews

ADAM LALLANA AKUMBANA NA 'ZOMEA-ZOMEA'

Adam Lallana (kushoto) alizomewa na mashabiki MENEJA wa Liverpool, Brendan Rodgers amekiri kushangazwa na jinsi nahodha wa ...


Adam Lallana (kushoto) alizomewa na mashabiki

MENEJA wa Liverpool, Brendan Rodgers amekiri kushangazwa na jinsi nahodha wa zamani wa Southampton, Adam Lallana alivyopokelewa vibaya akirejea katika dimba la St Mary kwenye mechi ya ligi  ambayo Liverpool walishinda 2-0 jana.
Kiungo huyo aliyekaa Southampton kwa miaka 14, alijiunga na Liverpool majira ya kiangazi mwaka jana na jana alizomewa na mashabiki wa nyumbani kama ilivyokuwa pia kwa Dejan Lovren aliyeondoka klabuni hapo kujiunga Anfield mwishoni mwa msimu uliopita.
Mshambuliaji Rickie Lambert ambaye alikuwa kwenye orodha ya wachezaji wa akiba, ingawa hakucheza, yeye alipokelewa vizuri.

Related

SPORTS 5281135214778555394

Post a Comment

emo-but-icon

item