Flatnews

SAD NEWS..! MWANAFUNZI KIDATO CHA 5 AJINYONGA KWA MADAI YA KUKOSA MATIBABU_KAGERA





  Mwanafunzi wa kidato cha tano katika shule ya sekongari ya Iyungo mjini Bukoba mkoani Kagera, Ezera Gerald ambae alikuwa amelazwa katika hospitali ya mkoa wa Kagera amejiua kwa kujinyonga katika hospitali hiyo kwa madai ya kukosa huduma za matibabu.

Post a Comment

emo-but-icon

item