PICHA: JAY Z na BEYONCE KUNUNUA NYUMBA YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 141!
Beyonce na Jay Z wapo njiani kununua na kuhamia kwenye nyumba ya kifahari yenye thamani ya dola milioni 85 ambazo ni zaidi ya shili...
https://samchardtz.blogspot.com/2014/09/picha-jay-z-na-beyonce-kununua-nyumba.html
Beyonce
na Jay Z wapo njiani kununua na kuhamia kwenye nyumba ya kifahari yenye
thamani ya dola milioni 85 ambazo ni zaidi ya shilingi bilioni 141 huko
Beverly Hills.
Nyumba
hiyo ya kisasa yenye ukubwa futi za mraba 23,000 ina vyumba vinane,
mabafu 15, bwawa la kuogelea, jumba la sinema lenye viti 24 na vingine.
Kwa mujibu wa TMZ, Beyonce na Jay Z ambao walidaiwa kuwa na mgogoro wa
ndoa yao, waliikagua nyumba hiyo walau mara mbili kabla ya kwenda kwenye ziara yao.
Tazama picha za nyumba hiyo.