Flatnews

MWAKILISHI WA UPENDO WOMEN'S GROUP BELGIUM AFUTURISHA WATOTO YATIMA

    Waumini wa dini ya Kiislamu wakisoma dua.


    Waumini wa dini ya Kiislamu wakisoma dua.

   Waumini na watoto yatima wakiwa katika dua.
    Baadhi ya waumini wakisikiliza neno kutoka kwa msemaji (hayuko kwenye picha).
   Baada ya kufungua ni muda wa kula tende.
   Hapa ni eneo la maji na juisi.
  Watoto wakipata futari.
  Mama Begum akiwa na akina mama wengine.
Bi. Saida H. Khalifa (kulia) ambaye ndiye Mkuu wa Kituo cha Orphanage Home, akiwa na watoto yatima pamoja na waumIni wengine.
MWAKILISHI wa Upendo Women’s Group Belgium, Bi. Begum Chunny, jana alifuturisha watoto yatima kutoka kituo cha Orphanage Home kilichopo Sinza-Mori jijini Dar.
Futari hiyo ilikwenda sambamba na kusoma dua kwa ajili ya kuwakumbuka ndugu na jamaa waliotangulia mbele ya haki.
Matukio yote mawili yalifanyika nyumbani kwa mama huyo maeneo ya Sayansi jijini Dar es Salaam.

Post a Comment

emo-but-icon

item