MAKAVU LIVE: Leo Kwa Irene Uwoya........Kutoka TeamUkwelinaUwazi
https://samchardtz.blogspot.com/2014/06/makavu-live-leo-kwa-irene-uwoyakutoka.html
Huyu lreen mzuri Tanzania Nzima wema sepetu hapa anasubiri miaka laki tisa ! Mtoto mlaini hajui mkorogo Mtoto mayai hajui shida na wala hana majigambo .. Kikubwa ninachokipenda kutoka kwa lreen ni mtu asie na magroup na ushoga wa kijinga na hapendi umbea na hajui umbea Mtoto mzuri sana akiongea kama hataki amezaa nabado yupo fit hongera Ireen uwoya ..... Ila Hicho kijamaa chako kama ni kweli unatoka nacho mmh hapana wewe na yule shilole hehe tena yule wa shilole ndio kutwa kinajitanua yaani kinapenda mteremko live....