Sababu za D.Knob kufunga ndoa ya kimyakimya
https://samchardtz.blogspot.com/2014/04/sababu-za-dknob-kufunga-ndoa-ya.html
Hit maker wa single mpya ya Nishike mkono D knob leo ame-amplify sababu za kuamua kufunga ndoa ya kimya kimya mwaka 2009 huku idadi ya watu waliohudhuria pamoja na maharusi wenyewe ikiwa sio zaidi ya 10 kuanzia kanisani mpaka walikoelekea baada ya kutoka kanisani.
Ameongea na millardayo.com na kusema ‘nilitaka kuifanya na mwenzangu nikamwambia tumekua wapenzi lakini sasa yahitaji tuwe ndani ya ndoa akasema twenzetu tukaongozana mpaka kanisani padri akasema hamuwezi kuoana nyie mnajua hata ndoa ni nini?kuna hatua’
‘Wazazi walipata taarifa mwishoni kwa sababu hata mzee katika risala yake maana tulikaa kwenye meza moja baada ya ndoa mzee akasema mimi sijui nakupa zawadi gani maana umeniambia jana tu,kitu tulichofanikiwa ni gauni la mke wangu maana ni gauni la gharama nashukuru Mungu lilitupa stress mwanzo lakini liliwahi’.