Flatnews

Ramsey arudi kwenye kikosi cha Arsenal, Perez nje wiki 8

Meneja wa klabu ya Arsenal, Arsene Wenger amethibitisha kuwa kiungo wake Aaron Ramsey atakuwepo katika kikosi chake cha kesho kitakachochez...


Meneja wa klabu ya Arsenal, Arsene Wenger amethibitisha kuwa kiungo wake Aaron Ramsey atakuwepo katika kikosi chake cha kesho kitakachocheza dhidi ya Sunderland ugenini.
Ramsey ,25 amekuwa nje ya uwanja kwa miezi miwili kufuatia kupata maumivu ya nyama za paja katika mechi dhidi ya Liverpool August,14.

Huku mshambuliaji wa kimataifa wa Hispania aliyesajiliwa kutoka Deportivo La Coruna Lucas Perez atakuwa nje ya uwanja kwa wiki nane baada ya kupata jeraha la enka katika mechi ya EFL Cup dhidi ya Reading.
Arsenal’s Lucas Perez leaves the pitch injured during the Reading game

Post a Comment

emo-but-icon
:noprob:
:smile:
:shy:
:trope:
:sneered:
:happy:
:escort:
:rapt:
:love:
:heart:
:angry:
:hate:
:sad:
:sigh:
:disappointed:
:cry:
:fear:
:surprise:
:unbelieve:
:shit:
:like:
:dislike:
:clap:
:cuff:
:fist:
:ok:
:file:
:link:
:place:
:contact:

Hot in weekRecentComments

Recent

Kesi ya Godbless Lema na mkewe kumtukana Mkuu wa Mkoa wa Arusha yakwama kusikilizwa..

Kesi ya kumtukana Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo, inayomkabili Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini, Godbless lema na mke wake Neema Lema (33), imeshindwa kusikilizwa maelezo ya awali. Hatu...

PICHA 18: Style za nywele za baadhi ya mastaa wa muziki Nigeria

              Mastaa wa muziki ni watu ambao wanapenda kwenda na fashion kuanzia mavazi mpaka style za unyoaji. Kwa upande wa mastaa wa Nigeria tumez...

Donald Trump Akataa Kulipwa Mshahara wa Urais

Rais mteule wa Marekani, bilionea Donald Trump amesema hatakubali kupokea mshahara wa urais pindi atakapokuwa madarakani. Trump ameweka msimamo huo jana katika mahojiano maalum na mtangazaji maa...

Jealousy!!! Justine Skye can't stand seeing Wizkid with other girls

As much as we know, Wizkid and Justice Skye are together. Maybe not a great deal. But, at least, there's something going on with the two. To further prove the possibility of the two being deeply in...

Comments

Anonymous:

Hahahaha Safi sana nidhamu ikae Pahala pake

item