Flatnews

Mama Salma apewa Tuzo Maalumu nchini Malaysia

Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akionyesha Tuzo Maalum aliyokabidhiwa na Profesa Joseph Adaikalam (kulia) Mwanzilishi na Mwenyekiti Mte...


Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akionyesha Tuzo Maalum aliyokabidhiwa na Profesa Joseph Adaikalam (kulia) Mwanzilishi na Mwenyekiti Mtendaji wa  Chuo Kikuu cha Binary kilichoko Kuala Lumpur nchini Malaysia na kushoto ni Makamu wa Mkuu wa Chuo hicho Profesa Sulochana Nair.
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akionyesha Tuzo Maalum aliyokabidhiwa na Profesa Joseph Adaikalam (kulia) Mwanzilishi na Mwenyekiti Mtendaji wa Chuo Kikuu cha Binary kilichoko Kuala Lumpur nchini Malaysia na kushoto ni Makamu wa Mkuu wa Chuo hicho Profesa Sulochana Nair.





                                   Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akimkabidhi Tuzo Maalum aliyokabidhiwa na Uongozi wa Chuo Kikuu cha Binary kwa Balozi wa Tanzania nchini Malaysia Dkt. Aziz  Mlima
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akimkabidhi Tuzo Maalum aliyokabidhiwa na Uongozi wa Chuo Kikuu cha Binary kwa Balozi wa Tanzania nchini Malaysia Dkt. Aziz Mlima
                                   Mwanzilishi na Mwenyekiti Mtendaji Mkuu wa Chuo Kikuu cha Binary Profesa Joseph Adaikalam akibadilishana hati za makubaliano (MoU) na Katibu wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo, WAMA, Ndugu Daud Nassib mara baada ya kutiliana saini makubaliano hayo huku Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akishuhudia.
Mwanzilishi na Mwenyekiti Mtendaji Mkuu wa Chuo Kikuu cha Binary Profesa Joseph Adaikalam akibadilishana hati za makubaliano (MoU) na Katibu wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo, WAMA, Ndugu Daud Nassib mara baada ya kutiliana saini makubaliano hayo huku Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akishuhudia.
Mke wa Rais na Mwenyekiti wa WAMA, Mama Salma Kikwete amepewa  TUZO maalum ya “ CWL International Women of Excellency Award for Leadership” nchini Malaysia jana.
Aidha ,Tuzo hiyo amepokea kutoka kwa Profesa Joseph Adaikalam, Mwanzilishi na Mtendaji Mkuu wa Chuo Kukuu cha Binary kilichoko nchini Malaysia.
Tuzo hiyo imetolewa maalumu kutokana na kutambua na kuthamini mchango wake katika maendeleo ya wanawake nchini Tanzania na Afrika.

Related

NEWS 7480595987412360806

Post a Comment

emo-but-icon

item