Flatnews

Johari: Sitaki Kusikia Habari za Chuchu

STAA wa filamu Bongo, Blandina Chagula ‘ Johari’ amesema kwa sasa hataki kabisa...




STAA wa filamu Bongo, Blandina Chagula ‘ Johari’ amesema kwa sasa hataki kabisa kusikia habari za mwigizaji, Chuchu Hans ambaye wamekuwa wakitifuana mara kwa mara wakidaiwa kugombea penzi la Vincent Kigosi ‘ Ray ’ .


Akikitemea cheche kinasa sauti cha paparazi wetu baada ya kuulizwa kuhusiana na hatma ya malumbano yao ya mara kwa mara na Chuchu, Johari alisema hataki kumzungumzia mwanadada huyo kwani anampaisha bure . 

“Nimeamua nikae kimya kabisa wala sitaki kuzozana na mtu nitajishushia hadhi kwa mashabiki wangu bure , siwezi kuwa namnufaisha mtu kwa kumpandisha daraja kupitia mgongo wangu kutokana na malumbano, ” alisema Johari. 

Post a Comment

emo-but-icon

Hot in week

Recent

Comments

Text Widget

Connect Us

Popular Posts

item