Flatnews

Hiki ndicho Kilichowakuta Liverpool, soma hapa!

Hali kwenye klabu ya Liverpool imeendelea kuwa mbaya baada ya kupoteza mchezo wake wa tatu mfululizo kwenye ligi ya England .


236C7CF900000578-2846164-image-2_1416753551440
Hali kwenye klabu ya Liverpool imeendelea kuwa mbaya baada ya kupoteza mchezo wake wa tatu mfululizo kwenye ligi ya England .

Liverpool iliuona uwanja wa Selhurst Park mchungu baada ya kufungwa 3-1 kwenye mchezo wao dhidi ya Crystal Palace .

Wekundu hao wa huko Anfield walianza kufunga kupitia kwa Ricky Lambert ambaye alikuwa anafunga bao lake la kwanza tangu ajiunge na Liverpool akitokea Southampton .
Wachezaji wa Crystal Palace wakiongozwa na nahodha Mile Jedinak wakishangilia bao la nahodha wao .
Wachezaji wa Crystal Palace wakiongozwa na nahodha Mile Jedinak wakishangilia bao la nahodha wao .
Hata hivyo Crystal Palace ilirudisha mabao hayo kupitia kwa Mile Jedinak , Dwight Gayle na Joe Ledley.
Matokeo haya yanaifanya Liverpool ibaki kwenye nafasi ya 12 baada ya kupoteza michezo 6 kati ya 12 ya msimu huu kwenye ligi ya England .

Mshambuliaji Ricky Lambert akiifungia Liverpool bao lao pekee kwenye mchezo dhidi ya Crystal Palace.
Mshambuliaji Ricky Lambert akiifungia Liverpool bao lao pekee kwenye mchezo dhidi ya Crystal Palace.

Kipa wa Liverpool Simon Mignolet akichupa bila mafanikio kuokoa mpira wa adhabu uliopigwa na Mile Jedinak.

Post a Comment

emo-but-icon

item