AJALI WATU WANNE WANASURIKA KIFO KWENYE AJALI YA GARI MKOANI KATAVI
Gari likiwa limeanaguka
http://samchardtz.blogspot.com/2014/11/ajali-watu-wanne-wanasurika-kifo-kwenye.html
![]() |
| Gari likiwa limeanaguka |
![]() |
| Mmoja wa majeruhi akisaidiwa na wananchi wasamalia wema |
![]() |
| Gari lililopata ajali |
![]() |
| Wananchi wakishuhudia tukio lenyewe |

Watu
wanne wamenusurika kufa huku mmoja kati yao hali yake ikiwa mbaya baada
gari walilokuwa wakisafiria kupata ajali mbaya katika pori la wilaya ya
Mlele mkoani Katavi.
Ajali hiyo imetokea majira ya saa tisa za mchana ikilihusisha gari aina ya Toyota land cruiser namba T 636 CLM likitokea Dodoma kwenda Mpanda
Ajali hiyo imetokea majira ya saa tisa za mchana ikilihusisha gari aina ya Toyota land cruiser namba T 636 CLM likitokea Dodoma kwenda Mpanda





