Flatnews

WORLD LUNG FOUNDATION NA SERIKALI YA MKOA WA KIGOMA WAZINDUA KAMPENI YA THAMINI UHAI OKOA MAISHA YA MAMA MJAZITO NA MTOTO



Wahudumu wa Hospitali ya Mkoa wa Kigoma maweni pamoja na wananchi wakitembea kwa maandamano kuelekea katika viwanja vya Sekondari ya Mwananchi Mkoani Kigoma kwaajili ya uzinduzi wa kampeni ya ''THAMINI UHAI OKOA MAISHA YA MAMA MJAZITO.
Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Kanali Mstaafu Issa Machibya akizindua kampeni ya ''THAMINI UHAI OKOA MAISHA MAMA MJAMZITO''katika viwanja vya…
Wahudumu wa Hospitali ya Mkoa wa Kigoma maweni pamoja na wananchi wakitembea kwa maandamano kuelekea katika viwanja vya Sekondari ya Mwananchi Mkoani Kigoma kwaajili ya uzinduzi wa kampeni ya ''THAMINI UHAI OKOA MAISHA YA MAMA MJAZITO.
 
Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Kanali Mstaafu Issa Machibya akizindua kampeni ya ''THAMINI UHAI OKOA MAISHA MAMA MJAMZITO''katika viwanja vya Sekondari ya Mwananchi wa nyuma yake ni Katibu Tawala wa Mkoa Mhandisi John Ndunguru.
Mkuu wa Mkoa wa Kigoma pamoja na viongozi wengine wa serikali ya Mkoa wa Kigoma wakipiga makofi baada ya uzinduzi kufanyika.
Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Kanali msataafu Issa Machibya akipongezana na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la World Lung Foundation Nchini Dkt Nguke Mwakatundu baada ya uzinduzi wa kampeni na anayefuata ni Mganga Mkuu wa Hospita ya Mkoa wa Kigoma Dkt Leonard Subi.
SERIKALI ya Mkoa wa Kigoma kwa kushirikiana na shirika lisilo la kiserikali la Word Lung Foundation chini ya ufadhili wa Swedish Internatinol Agency (SIDA) wamezindua Mkoani hapa kampeni ya''THAMINI UHAI OKOA MAMA MJAMZITO NA MTOTO''
Mgeni rasmi katika uzinduzi huo Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Kanali Mstaafu Issa Machibya alisema kuwa lengo la kampeni hiyo kuongeza na huduma kwa akina mama wajawazito waweze kujifungulia katika vituo vya huduma ya afya.
''Hawa ndugu zetu wa WLF wamekuwa wakitusaidia sana katika masuala ya afya ya mama mjazito na mtoto hapa kigoma,Mambo ya kujifungulia nyumbani yameshapitwa na wakati,nina waomba akina mama wote wanapo pata ujauzito kuanza klinik mapema ili waweze  kuonana na wataalam mapema''alisema machibya    BOFYA HAPA KWA STORI KAMILI

Post a Comment

emo-but-icon

item