MUIGIZAJI RUSH HOUR AFARIKI DUNIA
http://samchardtz.blogspot.com/2014/10/muigizaji-rush-hour-afariki-dunia_16.html
Muigizaji wa Filamu ya La Bamba na Rush Hour ambaye pia ni mtangazaji
wa TV, Elizabeth Pena amefariki dunia Jumanne hii Hospitali ya
Cedars-Sinai, Los Angeles Marekani baada ya kuugua kwa muda mfupi akiwa
na umri wa miaka 55 ingawa Chanzo cha kifo chake hakijajulikana mpaka
sasa.
Pena alizaliwa September 23, 1961 nchini Marekani na aliwahi kuongoza na kuendesha baadhi ya Vipindi vya TV kama I Married Dora, Resurrection Blvd, Maya & Miguel, Shannon’s Deal, Tough Cookies.
Pena alizaliwa September 23, 1961 nchini Marekani na aliwahi kuongoza na kuendesha baadhi ya Vipindi vya TV kama I Married Dora, Resurrection Blvd, Maya & Miguel, Shannon’s Deal, Tough Cookies.
