EPL: Man City Waitandika Aston Villa 2 - 0
http://samchardtz.blogspot.com/2014/10/epl-man-city-waitandika-aston-villa-2-0.html
Manchester city imefanikiwa kuondoka na ponti zote tatu katika mchezo wake na Aston Villa ambao ulifanyika Villa park ulikuwa ni mchezo mgumu sana city mnamo dakika 10 lala salama kiungo wa ivory coast Yaya Toure aliifungia timu yake goli la kwanza baada ya kosa kosa nyingi man city walizokuwa wanakosa, kabla ya mpira kuisha katika dakika 88 kun Aguero aliipatia city goli la pili na kujihakikishia ushindi.
Aguero celebrates
finally finding a way beyond Aston Villa goalkeeper Brad Guzan, who sits
dejected in the background as Manchester City win 2-0 at Villa Park
MATCH FACTS AND RATINGS
Aston Villa: Guzan
8, Hutton 5, Senderos 6.5, Baker 7, Cissokho 6.5, Cleverley 5.5,
Westwood 5, Delph 7, Richardson 7 (Grealish 71), Weimann 6 (Benteke 61,
6.5), N'Zogbia 6.5 (Bacuna 71)
Subs (not used): Clark, Bent, Sanchez, Given
Bookings: NONE
Goals: NONE
Man City: Hart
6, Zabaleta 6.5, Kompany 6.5, Mangala 7, Kolarov 7, Milner 6.5,
Fernandinho 5.5 (Lampard 56, 6.5), Toure 7, Silva 7 (Navas 84), Dzeko 6
(Fernando 64, 6), Aguero 7.5
Subs (not used): Sagna, Caballero, Demichelis, Jovetic
Subs (not used): Sagna, Caballero, Demichelis, Jovetic
Bookings: Kolarov
Goals: Toure (82), Aguero (88)
Referee: Chris Foy (Merseyside)
Ratings by Jack Gaughan
