Flatnews

HULL KUCHUANA NA LOKEREN YA UBELGIJI, TOTTENHAM USO KWA USO NA AEL LIMASSOL YA CYPRIOT LIGI YA EUROPA

  Mkombozi: Sone Aluko aliifungia goli pekee la ushindi klabu ya Hull City dhidi ya AS Trencin.


 1407490611788_wps_3_Hull_City_s_Sone_Aluko_ce
Mkombozi: Sone Aluko aliifungia goli pekee la ushindi klabu ya Hull City dhidi ya AS Trencin.
Pure joy: Sone Aluko celebrates scoring against AS Trencin to send Hull through to the next round
HULL itachuana na Lokeren katika mechi mbili za raundi ya pili ya mtoano ya ligi ya Europa.
Kikosi hicho cha Steve Bruce kiliitandika AS Trencin ya Slovakia kwa wastani wa mabao 2-1 katika mchezo wa jana alhamisi na sasa watakabiliana na timu hiyo ya Ubelgiji.
Wakati huo huo, Tottenham watakabiliana na timu ya Cypriot ya  AEL Limassol, ambao wapo katika mashindano hayo baada ya kupoteza mechi  kwa mabao 3-1 dhidi ya timu ya Zenit Saint Petersburg chini ya Andre Villas-Boas katika mchezo wa raundi ya tatu ya kufuzu UEFA.
DROO NZIMA YA EUROPA
EUROPA LEAGUE PLAY-OFF ROUND DRAW
Sarajevo vs Borussia Monchengladbach
Apollon vs Lokomotiv Moscow
Astana vs Villarreal
Young Boys vs Debrecen
PEC Zwolle vs Sparta Prague
Spartak Trnava vs FC Zurich
Asteras vs Maccabi Tel-aviv
AEL vs Tottenham
Dnipro vs Hajduk Split
Dinamo Minsk vs Nacional
Qarabag vs FC Twente
Petrolul vs Dinamo Zagreb
HJK vs Rapid Vienna
Trabzonspor vs FC Rostov
Zimbru vs PAOK
Hajduk Split vs Torino
Omonia vs Dinamo Moscow
Aktobe vs Legia Warsaw
Lyon vs Astra
Lokeren vs Hull
Neftci vs Partizan Belgrade
Ruch vs Metalist
Elfsborg vs Rio Ave
PSV Eindhoven vs Shakhtyor
Karabukspor vs Saint-Etienne
Stjarnan vs Inter Milan
Panathinaikos vs Midtjylland
Feyenoord vs Zorya
Grasshoppers Zurich vs Club Bruges
Real Sociedad vs Krasnodar
Rijeka vs Sheriff
The two-legged ties will be played on August 21 and 28 

Post a Comment

emo-but-icon

item