Flatnews

Watoto Njiti Mapacha Watelekezwa na Baba Yao



Fatuma Hussein akiwa na watoto wake mapacha.
DADA mmoja Fatuma Hussein (30), anaomba msaada kwa Watanzania baada ya kutelekezwa na mzazi mwenzake.Akizungumza na mwandishi wetu maeneo ya Magomeni Makanya,
Dar dada huyo anadai kuwa aliishi na mzazi mwenzie kwa miezi miwili kama mke na mume na ndipo akapata ujauzito,wakati huo alishajitambulisha nyumbani kwao na kutoa posa baada ya kujifungua watoto  njiti mapacha wakiwa na miezi saba.

Fatuma Hussein akiwa na watoto wake mapacha.
Watoto mapacha wakiwa wamelala.
Watoto mapacha wakiwa wamelala.
Rahma akiwa kalala
Rahma akiwa kalala
Rahmu akiwa kwenye pozi.
Rahmu akiwa kwenye pozi.
Anadai mzazi mwenzake aitwaye Mussa
Unguja kamtelekaza, akaongeza kuwa huwa haji kuwaona watoto. “Nikimpigia simu hapokei lakini siku moja aliipokea na akasema hana shida na watoto wangu,  toka siku hiyo sijazungumza naye.
‘’Watanzania naomba msaada wa hali na mali, watoto wangu na wapenda na kwa sasa sina kazi, naishi kwa kubangaiza chumba chenyewe nimepanga,’’alisema Fatuma

Post a Comment

emo-but-icon

item