Flatnews

PICHA BOMU LARIPUKA DARAJANI ZANZIBAR, MMOJA AFARIKI


 Mlipuko unaosadikiwa kuwa ni bomu jana Juni 13, 2014 ulilipuka eneo la Darajani Zanzibar na kusababisha kifo cha mtu mmoja na kujeruhi watatu.
Tarifa zinasema mlipuko Huo umetokea baada ya waumini wa dini ya kiislamu kumaliza muhadhara uliokuwa ukitolewa Miskiti wa darajani baada ya salsa ya Isha.
Aliyekufa ni mmoja kati ya wahadhiri waliokuja kutoka Tanga na Sheikh Hamad ndiyo aliyekuwepo theater. Na Sheikh Kassim Mafuta kaumia kidogo.

Post a Comment

emo-but-icon

item