Flatnews

NOMA SANA: KITALE "MKUDE SIMBA" NDANI YA LAWAMA NZITO...!


 Msanii wa vichekesho kutoka Kundi la Vituko Show, Ismail Makombe ‘Mapembe’.
MSANII wa vichekesho kutoka Kundi la Vituko Show, Ismail Makombe ‘Mapembe’, anadai kuingizwa mjini na staa mwenzake, Mussa Yusuf Kitale ‘Mkude Simba’ kwa kumuahidi kumchangishia pesa na mwisho kuingia mitini.

Akizungumza na gazeti hili hivi karibuni, Mapembe ambaye hali yake ni mbaya kiafya alisema:
 
“Ndugu yangu kweli hujafa hujaumbika, naumwa kweli nakosa msaada wa karibu kutoka kwa wasanii wenzangu na leo naishia kutoa lawama huku wengine wakiniingiza mjini kama alivyonifanyia Kitale aliyeniahidi kunichangishia pesa na kunikataza kuombaomba kwa madai ya kuitia aibu tasnia yetu lakini mpaka leo.”
Staa wa Maigizo upande wa vichekesho, Mussa Yusuf Kitale ‘Mkude Simba’.
Baada ya kupata madai hayo, paparazi wetu alimtafuta Mkude Simba ‘Kitale’ na alipopatikana alisema: 

“Ni kweli Mapembe nilimuahidi kumchangishia pesa ila baada ya wazo hilo kulifikisha kwenye chama chetu cha komedi viongozi waligoma kumsaidia kwa madai kuwa yeye siyo mwanachama wao na hata kipindi chama kinaanzishwa aligoma kujiunga kwa kuona hakina maana hivyo nao wamekataa, kwa hiyo hana sababu ya kunilalamikia.”

Post a Comment

emo-but-icon
:noprob:
:smile:
:shy:
:trope:
:sneered:
:happy:
:escort:
:rapt:
:love:
:heart:
:angry:
:hate:
:sad:
:sigh:
:disappointed:
:cry:
:fear:
:surprise:
:unbelieve:
:shit:
:like:
:dislike:
:clap:
:cuff:
:fist:
:ok:
:file:
:link:
:place:
:contact:

Hot in weekRecentComments

Recent

Kesi ya Godbless Lema na mkewe kumtukana Mkuu wa Mkoa wa Arusha yakwama kusikilizwa..

Kesi ya kumtukana Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo, inayomkabili Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini, Godbless lema na mke wake Neema Lema (33), imeshindwa kusikilizwa maelezo ya awali. Hatu...

PICHA 18: Style za nywele za baadhi ya mastaa wa muziki Nigeria

              Mastaa wa muziki ni watu ambao wanapenda kwenda na fashion kuanzia mavazi mpaka style za unyoaji. Kwa upande wa mastaa wa Nigeria tumez...

Donald Trump Akataa Kulipwa Mshahara wa Urais

Rais mteule wa Marekani, bilionea Donald Trump amesema hatakubali kupokea mshahara wa urais pindi atakapokuwa madarakani. Trump ameweka msimamo huo jana katika mahojiano maalum na mtangazaji maa...

Jealousy!!! Justine Skye can't stand seeing Wizkid with other girls

As much as we know, Wizkid and Justice Skye are together. Maybe not a great deal. But, at least, there's something going on with the two. To further prove the possibility of the two being deeply in...

Comments

item